Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Rudisheni Token ama fedha za watu mlizokata wakati mna tatizo la mfumo wa LUKU, ni muda sasa hela hamrudishi Token hamtoi, hamuoni kama huu ni wizi kama wizi mwingine?
Kwenye mitandao ya simu mtu akipata shida ya miamala ndani ya saa 24 hela zake zinarudi nyinyi mna tatizo gani , watu walinunua Token mara karibia 5 na hela zikakatwa kuna mtu alinunua umeme wa 20,000 mara tano akijaribu jaribu tu na zote zimekatwa mpaka leo hawajarudisha, wengine hadi laki mbili hadi leo kimya .
Hakuna anayejali wala kutoa ufafanuzi Si Waziri wala Nani , malalamiko yanaishia kwenye maji kama samaki.
Kwenye mitandao ya simu mtu akipata shida ya miamala ndani ya saa 24 hela zake zinarudi nyinyi mna tatizo gani , watu walinunua Token mara karibia 5 na hela zikakatwa kuna mtu alinunua umeme wa 20,000 mara tano akijaribu jaribu tu na zote zimekatwa mpaka leo hawajarudisha, wengine hadi laki mbili hadi leo kimya .
Hakuna anayejali wala kutoa ufafanuzi Si Waziri wala Nani , malalamiko yanaishia kwenye maji kama samaki.