TANESCO, Songas zamaliza Mkataba wa Uzalishaji Umeme. Serikali yagoma kuendelea na mkataba kulinda maslahi ya nchi


Biashara siyo mchezo wa hasira, tukae chini tukubaliane kununua kila kitu cha SONGAS ikiwemo mategemeo ya mapato waliyotarajia SONGAS kwa zaidi ya miaka mingine 20 kuanzia 2026 yaani 2050
 
Biashara siyo mchezo wa hasira, tukae chini tukubaliane kununua kila kitu cha SONGAS ikiwemo mategemeo ya mapato waliyotarajia SONGAS kwa zaidi ya miaka mingine 20 kuanzia 2026 yaani 2050
Remember this is not a breach, but the end of contract signed 20yrs ago!
 
Remember this is not a breach, but the end of contract signed 20yrs ago!
Plus that big thing - Implied Duties of Good Faith in Commercial Contracts :

Bates v Post Office[1]:
  1. There are no specific express terms preventing a duty of good faith being implied.
  2. The contract is long-term, with the contracting parties mutually intending a long-term relationship.
  3. The contract involves a high degree of communication, co-operation and predictable performance based on mutual trust, confidence, and expectations of loyalty.
  4. The contracting parties intend that their respective roles be performed with integrity, and with fidelity to their bargain.
  5. The contracting parties are committed to collaborating in the performance of the contract.
  6. The spirits and objectives of the venture may not be capable of expression exhaustively in a written contract.
  7. The contracting parties intend to place trust and confidence in one another (but of a different kind to that involved in fiduciary relationships).
  8. There may be a degree of significant investment /substantial financial commitment by one contracting party (or both) in the venture.
  9. The relationship may be exclusive.
 
Asante shujaa wetu kwa kuanzisha ujenzi wa bwawa la Nyerere. Bila wewe kuanzisha huo mradi tungeendelea kupigwa mpaka tukomae. Sasa tunao ujasiri wa kusitisha mikataba isiyo na maslahi mapana kwa taifa. Rip JPM!
Mkataba umeisha au umesitishwa?
 
JPM aliyafanya haya akitimiza ilani ya CCM, mahaba yetu yanampa heshima kubwa huku tukisahau yeye alitimiza ilani ya Chama chake baada ya kukabidhiwa na kuagizwa aitimize.
Ilani bila uthubutu wa utekelezaji ni porojo tu kama porojo zingine. Kwani wakati tunasaini mikataba ya kipigaji enzi za akina Kikwete hapakuwa na ilani? Au ilani ndiyo ilielekeza tusaini mikataba ya kijinga isiyo na maslahi kwa nchi?
Mimi naona utendaji, wewe unaona ilani: hayo ni maono mawili tofauti!
 
Umeisha. Na kwa kuwa sasa tuna jnhpp, tuna ujasiri wa kuamua kurenew au kutokurenew!
Ku renew au kuto renew mkataba ni haki ya serikali, hivyo hilo si jambo linalohitaji ujasiri wowote.

Ungeongelea ujasiri kama serikali ingesitisha mkataba ambao haujaisha.

Sasa serikali ambayo imesubiri mpaka mkataba uishe ina ujasiri gani?
 
msizuge nyie semeni tu amepewa ROSTAM
 
Ku renew au kuto renew mkataba ni haki ya serikali, hivyo hilo si jambo linalohitaji ujasiri wowote.

Ungeongelea ujasiri kama serikali ingesitisha mkataba ambao haujaisha.

Sasa serikali ambayo imesubiri mpaka mkataba uishe ina ujasiri gani?
Kuheshimu mkataba pia ni ujasiri
 
Kuheshimu mkataba pia ni ujasiri
That is beside the point.

Mimi sitetei kuvunja mikataba.

Ninachosema hapa ni kwamba, suala la serikali kutoendeleza mkataba ulioisha ni suala la haki ya serikali tu, si suala la ujasiri.
 
..maamuzi magumu, au anataka kuleta kampuni ya maswahiba zake?

..hukusikia Abduli ana kampuni ya kwenye briefcase inayojihusisha na masuala ya energy?
Hata BANDARI MKATABA WA T.IC.S ILIISHA,GHAFLA AKAJA MWEKEZAJI MWINGINE "DP WORLD"
TUNAVIZIWA,UTASIKIA TUMEINGIA MKATABA WA MUDA MFUPI .
TUNASHAURI,SERIKALI INUNUE MTAMBO(imilikiwe na Serikali) TUMALIZANE NA SONGAS,Tuwe na meme wa bei nafuu.Vinginevyo tutasahulishwa!,wapenda pesa walete tena mikataba yenye kuumiza TANESCO.
 
Kama NHHEP imekamilika kwanini iwashwe mitambo michache.
 
Ni wakati sasa wa Tanesco kuwekeza sana kwenye gas plants baada ya kuachana na wazungu. Haya mapesa walikuwa wanatumia kulipa Songas na wenzao, yaelekezwe kwenye kujenga gas plants za kwetu. Hili bwawa tunatamba sasa hivi, baada ya miaka 30 tutarudi hapa hapa kama hatutatumia fursa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…