TANESCO vipi lakini?

TANESCO vipi lakini?

FourTwoNet

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2022
Posts
1,236
Reaction score
2,512
Hivi kwa hizi mvua ninazoziona, mpaka mjini zinanyesha, huko milimani ndiyo itakuwaje? Yaani hapo ni tufanye mvua ndiyo sababu ya mito kujaa maji, maana yake vyanzo main ni chemchem.

Kama ulikuwa umepanda maharage yako, tegemea kula kande.

Ila TANESCO vipi lakini? Hivi kweli 2022 mnatufanyia hivi kisa siasa? Hivi mama haelewi kwamba ndiyo kawaharibia wanawake nafasi ya kuja kuwa viongozi? Mbona badala ya suluhu ninaona tatizo juu ya tatizo?

Hivi chama chetu pendwa hakioni uendeshaji wa dizaini hii mwishowe ni ukosefu wa amani? Hivi hao kina February hawana utu kweli? Inakuwaje huna hata utu?

Kwenu chakula ilikuwa noma mpaka ukaitwa jina la mboga yetu pendwa, unakosaje utu mzee? Yaani hapo umekoswa koswa kwenye jina la pili maana yake ingekuwa Kande kabisa.

Hata comment sitaki, nishafungua roho wakuu.
 
Tupo Kwenye Mchakato Wa Ununuzi Wa Software Toka India
Tukikamilisha Umeme Tele
 
Kwasasa nimeanza kuamini Kikwete ndiye alikuwa rais pekee ambae alikuwa hataki wananchi wake wahangaike

Kilichomponza ni kuweka ushikaji kazini,marafiki zake ndo walikuwa mafisadi

Nakumbuka ili kujitahid taifa lisiwe gizani akaagiza kampuni zenye kuzalisha umeme kwa majenereta ingawaje rafiki zake wakaingiza ufisadi ndani yake lakin ilisaidia kupunguza tatzo

Lakin hili la sasa limekaa kimya kabisa kama hakuna kitu na linataka litutawale miaka 15 bila hata aibu
 
Hivi kwa hizi mvua ninazoziona, mpaka mjini zinanyesha, huko milimani ndiyo itakuwaje? Yaani hapo ni tufanye mvua ndiyo sababu ya mito kujaa maji, maana yake vyanzo main ni chemchem.

Kama ulikuwa umepanda maharage yako, tegemea kula kande.

Ila TANESCO vipi lakini? Hivi kweli 2022 mnatufanyia hivi kisa siasa? Hivi mama haelewi kwamba ndiyo kawaharibia wanawake nafasi ya kuja kuwa viongozi? Mbona badala ya suluhu ninaona tatizo juu ya tatizo?

Hivi chama chetu pendwa hakioni uendeshaji wa dizaini hii mwishowe ni ukosefu wa amani? Hivi hao kina February hawana utu kweli? Inakuwaje huna hata utu?

Kwenu chakula ilikuwa noma mpaka ukaitwa jina la mboga yetu pendwa, unakosaje utu mzee? Yaani hapo umekoswa koswa kwenye jina la pili maana yake ingekuwa Kande kabisa.

Hata comment sitaki, nishafungua roho wakuu.
Ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi... Au pochi la mama lina mengi

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Kwasasa nimeanza kuamini Kikwete ndiye alikuwa rais pekee ambae alikuwa hataki wananchi wake wahangaike

Kilichomponza ni kuweka ushikaji kazini,marafiki zake ndo walikuwa mafisadi

Nakumbuka ili kujitahid taifa lisiwe gizani akaagiza kampuni zenye kuzalisha umeme kwa majenereta ingawaje rafiki zake wakaingiza ufisadi ndani yake lakin ilisaidia kupunguza tatzo

Lakin hili la sasa limekaa kimya kabisa kama hakuna kitu na linataka litutawale miaka 15 bila hata aibu
Dah! Lakini hii migao kama vile inakumbushia enzi za J.K mwenyewe.
 
Back
Top Bottom