TANESCO wakata Umeme katika baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam kwa Maboresho ya Kituo cha Kupoza Umeme cha Kunduchi

TANESCO wakata Umeme katika baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam kwa Maboresho ya Kituo cha Kupoza Umeme cha Kunduchi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Bila shaka, kuna baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam ambapo watu wamekosa umeme. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO ) linawataarifu wateja wake kuhusu maboresho yatakayofanyika katika kituo cha kupoza umeme cha Kunduchi. Maboresho haya yana lengo la kuboresha huduma ya umeme kwa wateja wote.

Kwa sababu ya kazi hizi, huduma ya umeme itakatika katika maeneo yafuatayo:
TANGAZO LA KUKOSEKANA KWA HUDUMA KWA UMEME.jpg

TANESCO imeomba radhi kwa usumbufu utakaosababishwa na kukosekana kwa umeme, na inashukuru kwa uvumilivu wa wateja wake wakati wa maboresho haya muhimu. Taarifa zaidi kuhusu muda wa kutokuwepo kwa umeme na huduma mbadala zitapatikana kupitia njia rasmi za mawasiliano za TANESCO.
 
Huku kwetu wamekata umeme Lissu alipokaribia kusalimia wanakongamana shamba la bibi
 
Back
Top Bottom