TANESCO wameanza kutuandaa Kisaikolojia. Unakuja Mgao wa Umeme siku zijazo na Watu wanaanza kuingiza Nchini Majenereta

TANESCO wameanza kutuandaa Kisaikolojia. Unakuja Mgao wa Umeme siku zijazo na Watu wanaanza kuingiza Nchini Majenereta

Hili Wanalotaka Haliihitaji Rocket Science Kujua Wazi Wazi Tumeshikwa Pabaya

Mzilankende Alisema
Nitahakikisha Kwenye Utawala Wangu Nita~Deal Na Wale Wanafungua Maji Kwenye Mabwawa Ili Kina Kikosekani Wao Wauze Generator
Hao Wajiandae Vema Tutawafuta Kazi Wote
 
Shinyanga huwa inaonewa sana kila mgao unapokuja Shy imo 🙁
 
Hii nchi siku hizi raia wenye furaha ni mawaziri, wabunge, Rais, na wafanyabiashara wakubwa, raia wengine nje ya hapo tuhamie Burundi.

Nchi imejaa matatizo kila upande ajabu tunaaminishwa tuone tuna serikali, hata sielewi mambo yanavyoenda; pale tozo, huku uraiani panya rodi wanaua, ukienda polisi kuwekwa mahabusu, polisi nao wanakuua...

Ukigeuka upande mwingine kuna mgao ambao haueleweki chanzo chake, kama ni upungufu wa kina cha maji kwenye hayo mabwawa, au ni marekebisho ya kiufundi, wanajua wakisema tatizo ni marekebisho pekee wataulizwa mbona yalishafanyika juzi tu?

Basi ni vurugu tupu, wanatafuta sababu nyingine za kuunganishia, muhimu majenereta yaanze kuuzwa tena, kwangu hata yote yanasababishwa na udhaifu wa kiongozi wa serikali aliyepo madarakani, tunachezewa.
Leo chadema mnaongea haya?
 
good news kwa panya road, ama kwa hakika huyu mama kajua jinsi ya kuwa stress watu, watu watakuwa vichaa for God sake
 
Back
Top Bottom