Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bukujero naona hapo ndiyo alipopoteaLabda buku la kila mwezi
Kodi ya jengo ni 1500/=Hapana, mwanzo wa mwezi ninanunua shs.11,000/= ninapata unit 28.0 baada ya kukata kodi ya jengo shs.1,000/= na katikati ya mwezi ninanunua shs. 10,000/= bila kodi ya jengo ninapata unit 28.0 taslimu, je, Tanesco wamepandisha bei ya umeme?
EwaaaahDebt Collected 1,500.00
Sawa, lakini wengine watajuaje ili nao wajiandae? Hatutakiwi kuwapigia simu ni wajibu wao watueleze kama kuna mabadiliko yoyote.Jaribu kupiga simu kwa emergence yao wakupatie ufafanuzi
Kodi ya jengo olipandisha ni 2000 sio buku tenaHapana, mwanzo wa mwezi ninanunua shs.11,000/= ninapata unit 28.0 baada ya kukata kodi ya jengo shs.1,000/= na katikati ya mwezi ninanunua shs. 10,000/= bila kodi ya jengo ninapata unit 28.0 taslimu, je, Tanesco wamepandisha bei ya umeme?
Uwe muelewa kodi ya jengo imepanda kutoka shilingi 1000 mpaka 1500 hivyo wamekata kodi ya jengo ukabakiwa na 9500 ndiyo iliyonunua umemeHapana, mwanzo wa mwezi ninanunua shs.11,000/= ninapata unit 28.0 baada ya kukata kodi ya jengo shs.1,000/= na katikati ya mwezi ninanunua shs. 10,000/= bila kodi ya jengo ninapata unit 28.0 taslimu, je, Tanesco wamepandisha bei ya umeme?
Taarifa hii inatakiwa itoke kwako au itoke Tanesco kuwatahadharisha wateja?Uwe muelewa kodi ya jengo imepanda kutoka shilingi 1000 mpaka 1500 hivyo wamekata kodi ya jengo ukabakiwa na 9500 ndiyo iliyonunua umeme
Una habari"? una maanisha nini?Kodi ya majengo he au una habari
Wamepandisha tozoLeo tarehe 02 October 2023 nimenunua umeme wa sh.11,000/= ambapo nilitegemea kupata unit 28.0 lakini nimepata unit 26.6! Je, umeme umepanda bei au ni tabia nchi tu!
Leo tarehe 02 October 2023 nimenunua umeme wa sh.11,000/= ambapo nilitegemea kupata unit 28.0 lakini nimepata unit 26.6! Je, umeme umepanda bei au ni tabia nchi tu!