TANESCO wasaini mkataba wa kuuziana umeme na Geita Gold Mining

TANESCO wasaini mkataba wa kuuziana umeme na Geita Gold Mining

Miaka 20 wanatumia mafuta .Tanesco wapo hawakutaka kupeleka umeme

Mteja yupo yuko tayari kulipa mabilioni .Tanesco wanavuta miguu .
Kama mkoa mzima haukuwa na njia ya umeme mkubwa huo unaotakiwa hapo, wangefanya nini?sasa umeme mkubwa umefika mkoa huo, ndio maana sasa hizo km 6, za kuupeleka GGM, zimewezekana!!yaani na kelele zote zile za jiwe kumbe hakuweza kujenga line hiyo?!!ila nchi hiii....
 
My God mtumia umeme mkubwa kama huyu atasubiri miezi kumi hadi December 2022 kupata umeme? Hivi Tanesco wanaumwa kipindupindu au?

Hilo libinafisishwe tu tujue moja

Mteja mkubwa huyo ilitakiwa afungiwe chapchap

Haya endeleeni kumuuzia mafuta kampuni zenu wahujumu uchumi nyie zifaidi hadi hapo taree 22 December loooo

Hivi kuhujumu kampuni ya umma Tanesco ili muuze mafuta ya kampuni zenu kunawasaidia nini hasa?
Hehe hehe........yaani watu tunaoitwa WATANZANIA, tuachwe tu! Tunalaumu tayari, ingelikuwa kipindi kileee basi kelele nyingi sana za pongezi zingesikika humu. Nina uhakika na hilo
 
Pongezi kwa JPM na watendaji kufanya maamuzi mradi, wamechelewa Sana kwa zaidi ya miaka 20 kutumia fursa soko la GGM.
Huyu hapa!
Hahahahahahahahahaaaaaaa! Kuna jina hawalitaki kabisa sema ndo hakuna namna Mungu ameshaamua!
 
Serikali na Management ya TANESCO ni lazima tuwe proactive miaka 20 GGM wanatumia Diesel na inawezekana kuna wateja wengine wakubwa ambao wangeliingizia shirika na Serikali mabilioni ya fedha, lakini TANESCO bado haijawafikia.
-Kuna kanuni inaitwa" Pareto Rule" ambayo inasema mara nyingi kwenye taasisi utakuta 20% ya wateja , ndiyo wanaochangia 80% ya mapato ya taasisi na 80% ya wateja ndiyo wanaochangia 20% ya mapato ya taasisi.
-Uchumi wa Merekani unamilikiwa na mabilioni wachache tu ukilinganisha na mamilioni ya wamerekani ambao wanapata kipato cha kijikimu.

Ushauri
1). Pareto Rule inashauri kuwa Ni vema Serikali au taasisi ikatoa kipaumbele kwa kundi dogo la wateja ambao mchango wao wa mapato utaleta athari katika uchumi wa taifa au taasisi.
2). Serikali au TANESCO walipaswa kuingia ubia na GGM miaka 20 iliyopita kupeleka umeme grid Geita,
3) Serikali au TANESCO walipaswa kukopa hata Benki ya dunia kwa ajili ya Miradi mikubwa ya Maendeleo kama hii, ambayo inaweza kulipa deni.
 
My God mtumia umeme mkubwa kama huyu atasubiri miezi kumi hadi December 2022 kupata umeme? Hivi Tanesco wanaumwa kipindupindu au?

Hilo libinafisishwe tu tujue moja

Mteja mkubwa huyo ilitakiwa afungiwe chapchap

Haya endeleeni kumuuzia mafuta kampuni zenu wahujumu uchumi nyie zifaidi hadi hapo taree 22 December loooo

Hivi kuhujumu kampuni ya umma Tanesco ili muuze mafuta ya kampuni zenu kunawasaidia nini hasa?
Umeme huu uliokuwepo hautoshi kuendesha mitambo yake.

Af kama kavumilia miaka 20 we unaona December mbali [emoji28]
 
TANESCO KUVUNA BILIONI 5 MAPATO YA MWEZI KUTOKA GGM

Kukamilika kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining (GGM) kutaliwezeshaTANESCO kupata kiasi cha shilingi bilioni 5 kwa mwezi zitakazotokana na mauzo ya umeme.

Source: TANESCO

===

Shirika la umeme nchini TANESCO na Mgodi wa dhahabu wa Geita GGM wamesaini mkataba wa kuuziana umeme.

Takribani miaka 20 mgodi wa GGM unatumia mafuta katika kuendesha shughuli zake jambo ambalo ni gharama ukilinganisha na utumiaji wa umeme.

Aidha mradi huo unaotarajiwa kukamilika disemba 22 utasaidia mapato ya bilioni 7 kwa TANESCO yatakayolipwa na Mgodi wa GGM.

Chanzo: Star TV
TANESCO KUVUNA BILIONI 5 MAPATO YA MWEZI KUTOKA GGM, hii ni siasa tu hakuna mapato hapo. Kampuni ya Mafuta ya puma inapambsna kuzima mkataba huo.
 
TANESCO KUVUNA BILIONI 5 MAPATO YA MWEZI KUTOKA GGM, hii ni siasa tu hakuna mapato hapo. Kampuni ya Mafuta ya puma inapambsna kuzima mkataba huo.
Wacha beberu apambane kuvuna hiyo pesa, TANESCO watachukua hiyo hela na hatutajua ilipotelea wapi!
Nakerwa Sana na wizi wa watumishi tuliowapa dhaman bass!
 
Back
Top Bottom