TANESCO watoa ratiba ya umeme wakati wa maboresho ya mitambo kuanzia Februari 22, 2025

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke limewatangazia wateja wake kuwa kutakuwa na maboresho katika kituo cha kupokea, kupoza, na kusambaza umeme cha msongo wa Kilovolti 220 kilichopo Ubungo, jijini Dar es Salaam.

Kutokana na kazi hiyo, huduma ya umeme itakosekana kwa nyakati tofauti kuanzia Jumamosi, tarehe 22 Februari hadi Ijumaa, tarehe 28 Februari 2025, katika maeneo yafuatayo:



 

Attachments

RATIBA YA MABORESHO KITUO CHA KUPOKEA, KUPOZA NA KUSAFIRISHA UMEME WA MSONGO WA KILOVOLTI 220 CHA UBUNGO.

20, FEBRUARY 2025
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani Kusini linawajulisha wateja wake kuwa kutakuwa na maboresho katika kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha msongo wa kilovoti 220 cha ubungo kuanzia siku ya jumamosi tarehe 22 hadi February 2025, hivyo huduma ya umeme itakosekana kwa nyakati tofauti kwa baadhi ya maeneo kama ifuatavyo:







 
Kigamboni haitoadhirika ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…