TANESCO: Wema ni jipu, tumemuweka kwenye 24hrs surveillance

Umesema Wema amehamia kwa Kadinda... aisee
 
Hahaahaaaa
...Msaga sumu agaaaaain!

Eti katia shirika hasara kubwa tokea kuanzishwa kwake!!!😀
 
Hahaahaaaa
...Msaga sumu agaaaaain!

Eti katia shirika hasara kubwa tokea kuanzishwa kwake!!!😀
Teh Teh eti tokea kuanzishwa kwake...
Hakika leo amesaga na kukoroga sumu daaaa
 
Ha ha ha watu na vipaji vyao..yaani we jamaa shigongo akikupata anakupa donge nono..
 
Kati ya wote waliompitia ila yeye kichwani kwake yupo mtu mmoja tu.
 
Ngoja nimuite Nifah......
Mwenzangu!Ya leo kali...
Mimi nilianza kumjua na kumkubali Jose Mara kwenye kile kipande kitamu alichoimba kwenye Hujafa Hujaumbika ya FM Academia "Kesho nikifumba macho nitajibu nini mbele ya haki eeeh,kumbe mali za dunia tu ni Sabuni ya roho........"
Na nilikuwa katoto balaaa....
 
hahaha da watu na vipaji vyao vya utunzi
 
its very fun ,,,,,but what a list of Ex BF I think its more than that ,,,,,,,,,,,,,
 
Bangi zinatakiwa kuvutwa sangapi? Wabobezi tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…