Tanesco, wilaya ya Temeke hakuna Umeme Hali mbaya Sana.

Tanesco, wilaya ya Temeke hakuna Umeme Hali mbaya Sana.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Taarifa
Tangu siku ya Jana mnakata Umeme tu

Huku Temeke Hali ya hewa ni joto Kali watu mnawakatia umeme hata Taarifa hamtoi Tena mnakata siku nzima .

Kazi zinazohitaji Umeme zipo nyingi Sana , je? Mnataka watu waishije ikiwa mnakata Umeme siku nzima na hamtoi Taarifa je mnatoa mgao ? Na huu ni aina gni ya mgao wa kukata umeme 24-48 hours


TANESCO hivi haya mnayoyafanya mnajiona Mpo sahihi?

NB wewe Byabato Naibu waziri nakupigia simu unasema hauna huwezo wa kutatua tatizo Kama hilo

Nikuambie tu 2025 sio mbali tuombe uzima
 
Taarifa
Tangu siku ya Jana mnakata Umeme tu

Huku Temeke Hali ya hewa ni joto Kali watu mnawakatia umeme hata Taarifa hamtoi Tena mnakata siku nzima .

Kazi zinazohitaji Umeme zipo nyingi Sana , je? Mnataka watu waishije ikiwa mnakata Umeme siku nzima na hamtoi Taarifa je mnatoa mgao ? Na huu ni aina gni ya mgao wa kukata umeme 24-48 hours


TANESCO hivi haya mnayoyafanya mnajiona Mpo sahihi?

NB wewe Byabato Naibu waziri nakupigia simu unasema hauna huwezo wa kutatua tatizo Kama hilo

Nikuambie tu 2025 sio mbali tuombe uzima
Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa wetu, na pole kwa changamoto hiyo, tumepokea taarifa za hitilafu kwenye miundombinu ya umeme maeneo hayo watalaamu wetu wanaendelea kufanya marekebisho ili huduma iweze kurejea kwenye ubora stahiki, tunaomba radhi kwa adha zilizo jitokeza.
 
Hawa tanesco sio watu kabisa yanii mtaanii kwangu kuna upande unawaka kuna upande hauwakii wamekata saa 11 jionii hii hizi c ujuma hizi nia yao tusiangalie mpira au
 
Back
Top Bottom