DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Taarifa
Tangu siku ya Jana mnakata Umeme tu
Huku Temeke Hali ya hewa ni joto Kali watu mnawakatia umeme hata Taarifa hamtoi Tena mnakata siku nzima .
Kazi zinazohitaji Umeme zipo nyingi Sana , je? Mnataka watu waishije ikiwa mnakata Umeme siku nzima na hamtoi Taarifa je mnatoa mgao ? Na huu ni aina gni ya mgao wa kukata umeme 24-48 hours
TANESCO hivi haya mnayoyafanya mnajiona Mpo sahihi?
NB wewe Byabato Naibu waziri nakupigia simu unasema hauna huwezo wa kutatua tatizo Kama hilo
Nikuambie tu 2025 sio mbali tuombe uzima
Tangu siku ya Jana mnakata Umeme tu
Huku Temeke Hali ya hewa ni joto Kali watu mnawakatia umeme hata Taarifa hamtoi Tena mnakata siku nzima .
Kazi zinazohitaji Umeme zipo nyingi Sana , je? Mnataka watu waishije ikiwa mnakata Umeme siku nzima na hamtoi Taarifa je mnatoa mgao ? Na huu ni aina gni ya mgao wa kukata umeme 24-48 hours
TANESCO hivi haya mnayoyafanya mnajiona Mpo sahihi?
NB wewe Byabato Naibu waziri nakupigia simu unasema hauna huwezo wa kutatua tatizo Kama hilo
Nikuambie tu 2025 sio mbali tuombe uzima