HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,238
- 1,577
Na mwendo wake ni motochini.Anayezubaa au kuzembea kwenye HAPA KAZI TU anang'olewa mara moja.Usipo Muunga Mkono Rais Magufuli wewe ni Zaidi ya Shetani .
Mungu mpe nguvu zaidi Rais wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwendo wake ni motochini.Anayezubaa au kuzembea kwenye HAPA KAZI TU anang'olewa mara moja.Usipo Muunga Mkono Rais Magufuli wewe ni Zaidi ya Shetani .
Mungu mpe nguvu zaidi Rais wetu
Ushawahi kusikia tumeshinda kesi mimi sikumbuki nifahamisheniHapo JPM amecheza vizuri sana, sasa ni kwamba fedha zote ambazo walitakiwa kulipwa hao IPTL zimesitishwa nadhani wanasubiri rufaa iliyokatwa na TANESCO, kama TANESCO wakishindwa kesi basi fedha hizo walipwe Standard charted tu.
huo mtambo wa IPTL utaifishwe tu, nadhani na IPTL wanaweza kuacha kutuuzia UMEME, hapo ndo patamu ili mkataba uvunjwe tu
Tanzania ni ya Jon-Mag-FulKama ile korea ya kim jong uni