Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Ngoja niweke bank maneno yangu...until hii "tetesi" ikikua na kuwa habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Baba yako alinikata miguu, baba mdogo wako akaninunulia ya bandia.
Maishukuru saaaaaana familia yenu kwa wema huu
Je IPTL pia imesamehe au imekataa isilipwe shs. 400 milioni kwa siku?Ukumbuke IPTL juzi imeungana na TANESCO kupinga hukumu ya kuwalipa STANBIC
Nipo busy nafanya research[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijakuona muda sana.
Walikupiga ban nini?
Uko tayari kulala gizani? Hayo malipo sio msaada. Ni gharama ya huduma wanayotupatia...Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
Ushauri tushushe pia bei ya umeme....
Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
you must be joking,aliyeileta iptl ni jk na ameshahakikishiwa kulindwa!Mungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.
Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?
Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha
Time is the Best Teacher!Ni mapema sana kusema lolote.
Mwenye busara hukaa kimya na kusubiri muda useme.
Huyu ndio Magufuli wengine photocopy mdogo mdogo mtamwelewa tu.Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mkuu fortocop ndio kitu gani?[emoji15]Huyu ndio Magufuli wengine fortocop mdogo mdogo mtamwelewa tu.
hahaaa umeelewa ama [emoji6]Mkuu fortocop ndio kitu gani?[emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya mkuuhahaaa umeelewa ama [emoji6]
Naungana na haya maamuz kwa asilimia Mia. Tena yalicheleweshwa. Na mkataba uvunjweKampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
symbion wao wana siku nasikia hawazalishi umeme,so kama ni kweli mitambo ya IPTL nayo itazimwa ,patakuwa na mgao kabambe wa umeme,tuombe tu mvue zinyeshe malambo ya umeme yajae majiNaungana na haya maamuz kwa asilimia Mia. Tena yalicheleweshwa. Na mkataba uvunjwe