Tetesi: TANESCO yadaiwa kusitisha malipo ya mwezi kwa IPTL na wengineo

Tetesi: TANESCO yadaiwa kusitisha malipo ya mwezi kwa IPTL na wengineo

Status
Not open for further replies.
Kama ni kweli ngoja nikaagize makontena 5 ya mishumaa chaina,
hii fursa si ya kuiachia kamwe
 
Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......

Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......

Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.

Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...

Ushauri tushushe pia bei ya umeme....

Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Uko tayari kulala gizani? Hayo malipo sio msaada. Ni gharama ya huduma wanayotupatia...
 
Mungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.

Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?

Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha
you must be joking,aliyeileta iptl ni jk na ameshahakikishiwa kulindwa!
 
Ni Jambo Lililo Jema,ila Tuombe Wasije Wakatushinda Mahakamani Halafu Tukaishia Kulipishwa Mabilioni!
 
Hivi ndio vitu serikali isimamie hizo pesa zisaidie mambo mengine kwenye nchi, sio TRA kutafuta pesa kwa nguvu kulipisha wananchi moter vehicle ambazo hazitumiki.
 
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.

Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Huyu ndio Magufuli wengine photocopy mdogo mdogo mtamwelewa tu.
 
Hivi jamani mtujuze huo mkataba IPTL unaishia mwaka gani....???

Maana hili dude IPTL nikilisikia tuu nahisi arufu ya kifo......
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.

Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Naungana na haya maamuz kwa asilimia Mia. Tena yalicheleweshwa. Na mkataba uvunjwe
 
Naungana na haya maamuz kwa asilimia Mia. Tena yalicheleweshwa. Na mkataba uvunjwe
symbion wao wana siku nasikia hawazalishi umeme,so kama ni kweli mitambo ya IPTL nayo itazimwa ,patakuwa na mgao kabambe wa umeme,tuombe tu mvue zinyeshe malambo ya umeme yajae maji
 
Mwinyi alishindwa!
Mkapa alishindwa!
Kikwete alishindwa!

Escrow wasubiri kiwembe
newsheriff.jpg
 
Wasiwasi wangu IPTL watafungua kesi halafu tutashindwa.lakini kwa kuwa bado ni tetesi wacha tusubiri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom