Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kusitisha ni hatua muhimu sana kama ya huko unakotaka kwenda. Subiri mtoto azaliwe ndo ununue nepi mrati tu mimba imeshaonekana usiwe na harakaHalafu wajanja waje wazile tena!!
Dawa siyo kusitisha kulipa bali ni kumalizana na IPTL na kuwashughulikia wote waliosababisha hili!! Kusitisha tu bila kufuata sheria kunaweza kutucost zaidi huko mbeleni.
Kwa nini wahusika hawachukuliwi hatua?? Kama JK aliwashughulikia akina Mramba na Yona kwa kulisababisha Taifa hasara vipi hawa wa IPTL na Escrow!!?
Usanii unaendelea hapa!!
na Tanzania kama taifa tuna kawaida ya kushindwa kesi za mikataba ya kibiashara.wasiwasi wangu.
BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
Historia ya Mradi wa IPTLMungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.
Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?
Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha
Kwa JPM inawezekana.siyo rahisi ingawaje nia ipo..........hatari sana
Mhm maamzi hayo ni magumu lakini hakuna namna ila inabidi kujiridhisha na sheria za mikataba zinasemaje tusije kulipa mara mbili.
Kama hii?wasiwasi wangu.
BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
Hii tutashinda hata kwa nguvu.na Tanzania kama taifa tuna kawaida ya kushindwa kesi za mikataba ya kibiashara.
kwa hiyo unashauri nini??wasiwasi wangu.
BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
hala hala hayo malipo yanayositishwa yasije yakaanzishiwa ESCROW nyingine!Hapo JPM amecheza vizuri sana, sasa ni kwamba fedha zote ambazo walitakiwa kulipwa hao IPTL zimesitishwa nadhani wanasubiri rufaa iliyokatwa na TANESCO, kama TANESCO wakishindwa kesi basi fedha hizo walipwe Standard charted tu.
huo mtambo wa IPTL utaifishwe tu, nadhani na IPTL wanaweza kuacha kutuuzia UMEME, hapo ndo patamu ili mkataba uvunjwe tu
Maamuzi haya kwa kwetu yanaweza kuwa na faida lkn kumbukeni hawa watu awaingiii mikataba ya kizembe... Naona km tumewapa penalt hawa watu si mnajua wanakwendaga mahakama za huki icc sijui nafikiri lingetazamwa kisheria zaidi maana lisiwe na asari kubwa.... Napenda sana tuachane na hii mikataba ya hovyo lkn jinsi ya kuachana nayo iwe kisheria isilete athari.Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
hala hala hayo malipo yanayositishwa yasije yakaanzishiwa ESCROW nyingine!Hapo JPM amecheza vizuri sana, sasa ni kwamba fedha zote ambazo walitakiwa kulipwa hao IPTL zimesitishwa nadhani wanasubiri rufaa iliyokatwa na TANESCO, kama TANESCO wakishindwa kesi basi fedha hizo walipwe Standard charted tu.
huo mtambo wa IPTL utaifishwe tu, nadhani na IPTL wanaweza kuacha kutuuzia UMEME, hapo ndo patamu ili mkataba uvunjwe tu
Ukumbuke IPTL juzi imeungana na TANESCO kupinga hukumu ya kuwalipa STANBIC
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
usiogope kukataa kuibiwa kwa sababu ya kuogopa kusimamishwa kizimbani.Maamuzi haya kwa kwetu yanaweza kuwa na faida lkn kumbukeni hawa watu awaingiii mikataba ya kizembe... Naona km tumewapa penalt hawa watu si mnajua wanakwendaga mahakama za huki icc sijui nafikiri lingetazamwa kisheria zaidi maana lisiwe na asari kubwa.... Napenda sana tuachane na hii mikataba ya hovyo lkn jinsi ya kuachana nayo iwe kisheria isilete athari.
Hata wakienda mahakani wakashinda kesiwasiwasi wangu.
BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
nguvu zipi mkuu,za giza? maana mawakili wetu nao mmmm.....?Hii tutashinda hata kwa nguvu.