jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Ukome kutufungamanisha na uwendawazimu kama hatukumuunga mkono yule jamaa.Hayo niyako
Ujue hata kura hatukumpa, tunamshangaa yule mrangi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukome kutufungamanisha na uwendawazimu kama hatukumuunga mkono yule jamaa.Hayo niyako
Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Ukome kutufungamanisha na uwendawazimu kama hatukumuunga mkono yule jamaa.
Ujue hata kura hatukumpa, tunamshangaa yule mrangi.
Waandalie na visandarusi mkuuNadhani itabidi fedha hizo ziwekwe kwenye ESCROW ACCOUNT
Nadhani Mungu atatungulia na kushinda sisi wanyonge.Hongera TANESCO kwa hili serikali ikaze kamba kwa hili na hata wakienda mahakamani wakishinda kesi tusiwalipe wameiba vya kutosha.
Hilo nalo neno, ila kujiamini ni muhimu sana.Ni mapema sana kusema lolote.
Mwenye busara hukaa kimya na kusubiri muda useme.
HakikaHongera Magufuli! kwahili. wote tutakuunga mikono!
Mkuu taarifa kutoka chombo gani cha habari?
Tafadhali tupe chanzo cha habari.
Halafu wajanja waje wazile tena!!Nadhani itabidi fedha hizo ziwekwe kwenye ESCROW ACCOUNT
Yes, tuvute subira ila naamini inawezekana.Ngoja tusubiri tuone kama Serikali itatangaza hili au TANESCO ili tupate uthibitisho wa habari hii.