ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #61
Nchi Huwa haiendeshwi hivyo,eti umalize mradi mmja ndio uanze mwingine,hakuna kitu kama hicho kwenye umeme..Nishati; Utitiri wa Miradi, (Mnaonaje tukimaliza Mmoja kwanza kabla ya Kuanza Mwingine)
Nimesikia hapa Makamba akiwasilisha miradi inayopangwa kufanywa katika bajeti ijayo na pesa lukuki iliyotengwa, kwa ajili ya miradi, (yaani ni miradi bandika bandua). Ni Vema na Haki..., ila swali, si bora tungemaliza kwanza mradi mmoja kuliko kushika shika hapa na pale..., Wahenga walisema...www.jamiiforums.com
Uko mbioni nao kuanza pengine mwaka ujao maana upepo ni more expensive kuliko solarKwani ule mradi wa upepo umeishia wapi??
Ndio umeme ukiongezeka tunataka kufuta matumizi ya mafuta kabisa Kwa kuingia kwenye solar, geothermal na Wind bila kusahau kuendelea na tradition source za maji,makaa na gasNa nani kabisha kuhusu energy mix ? Tanzania tunategemea maji pekee ? Hakuna Solar at household level ? Hakuna Gesi ? tunatumia mpaka mafuta na generator kwa gharama kubwa sana inayopelekea wananchi na nchi kufanya uzalishaji kuwa wa gharama; anyway haya mambo ya energy mix na the only way ya kufanya solar feasible nilishayaongelea hapa....
Jinsi ya kuifanya Kampuni ya Tanesco kuwa Kampuni Bora na ya Kujivunia Tanzania na Afrika kwa Ujumla
Tanzania tumebarikiwa vyanzo vingi vya nishati, Na Tanesco ni kati ya Makampuni mama ya Tanzania ambayo yanaweza yakaitangaza nchi yetu Africa na Pote Duniani (Yaani mfano wa kuigwa) Sio tu kutupatia nishati hapa bali tuweze kuwapa hata majirani zetu na kutuingizia fedha badala ya sasa kutumia...www.jamiiforums.com
Hizo ni akili za darasa la pili.Hivi ni Kwa nini nguvu moja isielekezwe sehemu moja ili ikikamilika ianze sehemu nyingine? Hata uangalizi unakuwa makini kwa hao contractors. Bwawa la Nyerere na Umeme wake wa maji na size ya source ya Umeme tuliambiwa shida ya Umeme itakuwa ni history likikamilika percent % sasa hizi source nyingine mpya za nini wakati ili bado? Anyway labda uelewa wangu ni mdogo.
sasa wewe ndio unakurupuka...., hata tukifanya huu uingie katika grid moja kwa moja ni kwamba tutakuwa na extra megawatts wakati wa mchana jua na jioni hizo extra zitakuwa hazipo hizo 150MW zitakuwepo wakati kuna jua wakati hakuna inakuwaje ? Huo sio ufanisi (storage ni muhimu kwenye solar)Hakuna Cha storage acha kukurupuka,utaingia kwenye matumizi Moja kwa Moja
Aliyekwambia nani? Kwani mradi wa Nyerere haijakamilika kwamba hauna hela au ni time table? Punguzeni ujinga na ujuaji usio na msingi, Tanesco inalenga kuwa na umeme walau megawatt 5,000 by 2025 Sasa bwawa ndio litafikisha huko?Huku ndio kuhesabu vifaranga wakati hata kuku hauna let alone mayai....; haya mambo ya kutosha tutaendelea kuongezea cha maana ni kumaliza mradi mmoja baada ya mwingine sio kushika shika hapa na pale in the end hakuna kinachofanyika.....; Miradi Lukuki utafikiri kuna mashindano ya kuanzisha miradi badala ya kumaliza tunayoanza hatua kwa hatua
Wakati hakuna jua hakuna Cha umeme ,zitaingia wakati wa jua tuu by the way kwani storage Ina shida gani? Naona inashadidia as if ni kitu Cha ajabusasa wewe ndio unakurupuka...., hata tukifanya huu uingie katika grid moja kwa moja ni kwamba tutakuwa na extra megawatts wakati wa mchana jua na jioni hizo extra zitakuwa hazipo hizo 150MW zitakuwepo wakati kuna jua wakati hakuna inakuwaje ? Huo sio ufanisi (storage ni muhimu kwenye solar)
Kwahio unabahatisha ukitegemea unapata industy inayohitaji umeme at par ?!!! Kwamba Bwawa likiisha capacity kudouble (yaani mara mbili ya sasa huo ni umeme mdogo)? Hata kama ni mdogo ila ni mara mbili ya sasa kwanini tusiweke nguvu zote huko ili tumalize ?Nchi Huwa haiendeshwi hivyo,eti umalize mradi mmja ndio uanze mwingine,hakuna kitu kama hicho kwenye umeme..
Unaweza pata industry inahitaji umeme mwingi at par itakuaje? Au chanzo kimojawapo kimepata janga itakuwaje?
Hizi ni fikra za form two huko .
Hao nyumbu wanaripoka tuu hakuna wanachokijua..Megawati 150 ni kidogo?!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Mzee uko "serious"?!!! [emoji1787]
Kwa jinsi wewe mbuzi unavyoelewa au?Umeme wa jua na upepo siku zote kwa africa ni utapeli
Huo ni mradi wa private sector chini ya PPP.Tunamtengenezea afu anatuzia umeme
Hahahahah noma sana
Kwa hizo gharama ilipaswa mitambo iwe mali yetu chini ya shirika la umeme la nchi
Unawaza kuwa na MG 5000 wakati hata elfu mbili hauna ?!!!!, kwanini usipate kwanza hizo 2000 pia umeme sio kwamba bora umeme ni umeme nafuu; sasa huu umeme wa kuuziwa na middlemen madalali utamsaidia vipi average Joe ?Aliyekwambia nani? Kwani mradi wa Nyerere haijakamilika kwamba hauna hela au ni time table? Punguzeni ujinga na ujuaji usio na msingi, Tanesco inalenga kuwa na umeme walau megawatt 5,000 by 2025 Sasa bwawa ndio litafikisha huko?
Sina mda wa kujichosha kujibu wajinga MimiPeople, Issues, Events....... Wengi tunachochagua ku-invest muda wetu, no wonder vingi vinavyofanyika sio endelevu....
Badala ya ku-pinpoint wapi nimekosea unajaza server kwa kuniongelea mimi a non entity katika mjadala huu.....
Kiukweli umeme wa maji ni janga kwenye hili la umeme wa Jua kama siyo siasa Waziri apewe maua yake.Wewe unataka iwe bei gani? Mradi gani wa Maji unaweza uzalishaji megawatt 150 Kwa bil.275?
Ndio hapo nagundua una matatizo au haujafuatilia haya mambo; Storage ina shida gani ? Unajua cost and efficiency of storage ? unadhani storage ingekuwa efficient na tuna uwezo wa kupata storage yenye energy density kubwa kama dunia si tungesambaza solar jangwani na kuhuduia dunia nzima kwa umeme.., unadhani storage ingekuwa rahisi hio smart phone yako ungechaji kila baada ya siku au uzito wake ungekuwa kama ulivyo sasa...Wakati hakuna jua hakuna Cha umeme ,zitaingia wakati wa jua tuu by the way kwani storage Ina shida gani? Naona inashadidia as if ni kitu Cha ajabu
Unawaza kama mimi, issue ikikahusisha hako kajamaa nawaza kuna upigaji tuSjui kwann nikisikia Makamba nawaza upigaji
Kwa hiyo Kwa sababu huna elfu 2 basi ni taboo kuwaza elfu 5? Akili au Matope? Hizo elfu 5 zinapatikana over night au over time? Kwa akili Yako hii ya kijinga basi unadhani megawatt hizo ni nyingi saana kwenye uchumi au?Unawaza kuwa na MG 5000 wakati hata elfu mbili hauna ?!!!!, kwanini usipate kwanza hizo 2000 pia umeme sio kwamba bora umeme ni umeme nafuu; sasa huu umeme wa kuuziwa na middlemen madalali utamsaidia vipi average Joe ?
Mpaka sasa mjini kuna umeme na nyaya zipo lakini kuna watu hawajaunganisha na wenye nao hawahutumii kwenye matumizi kama ya Oven n.k. WHY?!!!
Utagundua affordability ni jambo muhimu zaidi na jambo haliwezi likawa affordable kama anayetakiwa Kutoa hii huduma ananunua ili auze (amegeuka kuwa dalali)
Narudia storage Ina shida gani? Nchi zinazotumia solar hapa Africa zinasambaza Dunia nzima? Acha ujinga basiNdio hapo nagundua una matatizo au haujafuatilia haya mambo; Storage ina shida gani ? Unajua cost and efficiency of storage ? unadhani storage ingekuwa efficient na tuna uwezo wa kupata storage yenye energy density kubwa kama dunia si tungesambaza solar jangwani na kuhuduia dunia nzima kwa umeme.., unadhani storage ingekuwa rahisi hio smart phone yako ungechaji kila baada ya siku au uzito wake ungekuwa kama ulivyo sasa...
Kwani mimi ndo nimeelewa vibaya, mimi nadhani tumempa kandarasi ya supply and installation alafu anatukabidhi then sisi tunaendelea na operation.Tunamtengenezea afu anatuzia umeme
Hahahahah noma sana
Kwa hizo gharama ilipaswa mitambo iwe mali yetu chini ya shirika la umeme la nchi
Ikiisha utaliwa weweHamna cha umeme Wala nini hii Hela yote inaliwa .