TANESCO yasaini mkataba wa kuzalisha Umeme Jua MW 150 Kwa Bilioni 275. Waziri Makamba apiga marufuku mauziano ya Umeme kwa Dola

Wenye uelewa mdogo ktk hili watapinga hoja yako.
 
Hizo ni akili za darasa la pili.
Energy mix ni energy security na Tanesco inalenga kuwa na megawatt 5000 by 2025 Sasa bwawa ndio litafikisha 5,000?
Mbona hoja za msingi hujibu

Je tunalipa hiyo gharama ya mutambo pamoja na installation

Swali au hoja kwann visiwe vyetu kwa pesa hiyo?

Au je baada ya b215 kutakuwa na malipo ya uendeshaji au ndo tunamaliza hapo?
 
Mbona hoja za msingi hujibu

Je tunalipa hiyo gharama ya mutambo pamoja na installation

Swali au hoja kwann visiwe vyetu kwa pesa hiyo?

Au je baada ya b215 kutakuwa na malipo ya uendeshaji au ndo tunamaliza hapo?
Tulipe Kwa lipi,sikilizeni video hapo Juu ..

Tanesco ni kutoa guarantee ya kununua Umeme basi
 
Kwani mimi ndo nimeelewa vibaya, mimi nadhani tumempa kandarasi ya supply and installation alafu anatukabidhi then sisi tunaendelea na operation.
Solar system initial installation cost ndiyo kubwa lakinj operation huwa ni kidogo sana.
Hapana kwa maelezo mitambo inakuwa chini yake na ndio maana selikal wanakuwa wateja tena kupitia tanesco
 
Gharama za kuzalisha umeme wa jua ni kubwa ukilinganisha na gharama za kuzalisha umeme wa maji. Huu u.eme wa jua / upepo ni miradi ya kifisadi
 
sawa vip kule bwawa la mwalimu linaendeleaje ujazo wa maji hauruhusu umeme kuwashwa
 
Wewe kiazi kweli, garama ya vitu, unaangalia vitu vingi... Kwanza angalia water fall yake ipoje, angalia kina cha maji, na wingi wa maji
Ndio maana nakwambia wewe ni mpumbavu,unapolazimisha kwamba bil.275 zinaweza uzalishaji umeme megawatt 150 una akili timamu?
 
Ndio maana nakwambia wewe ni mpumbavu,unapolazimisha kwamba bil.275 zinaweza uzalishaji umeme megawatt 150 una akili timamu?
Nina akili timamu kwa maana nafanya kazi kwenye power plant... So naelewa kila kitu..
 
Nina akili timamu kwa maana nafanya kazi kwenye power plant... So naelewa kila kitu..
Unaweza kuwa fundi tuu ,Kwa hiyo unaelewa kwamba Bil.275 zinaweza uzalishaji megawatt 150 za umeme wa Maji? 😁😁

Kama unaelewa Kwa nini hukushauri huko unakofanya kazi mfanya vinginevyo?
 
Unadhani mgt 2100 ni nyingi Kwa viwanda vikubwa? Kuna viwanda vya kuzalisha vyuma vinahitaji mgt 3500 kwa nchi kama ya kwetu ili tuwe na viwanda vikubwa tuwe na mgt 10000 mpaka 35000 ndiyo tutaweza hata kuuza umeme mkubwa
 
Walijinasibu Nyerere dam soon litakuwa tayari na litatatua na kumaliza kabisa shida ya umeme.
Sasa why urukie huko kwenye solar au kuna 10% yako huko na hisa kiasi kadhaa..?
Halafu umeme wa solar gharama yake ipo kwenye maintenance yaani kubadili panels, wiring, batteries.
 
Unaweza kuwa fundi tuu ,Kwa hiyo unaelewa kwamba Bil.275 zinaweza uzalishaji megawatt 150 za umeme wa Maji? [emoji16][emoji16]

Kama unaelewa Kwa nini hukushauri huko unakofanya kazi mfanya vinginevyo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Ila huku hamna wapigaji...
 
Unaweza kuwa fundi tuu ,Kwa hiyo unaelewa kwamba Bil.275 zinaweza uzalishaji megawatt 150 za umeme wa Maji? [emoji16][emoji16]

Kama unaelewa Kwa nini hukushauri huko unakofanya kazi mfanya vinginevyo?
Inaweza mbona, kamamna water fall yenye uwezo wa kuzungusha turbine yenye kufua kiwango hko cha umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…