Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kaimu mkurugenzi wa Huduma za Wateja mh Mwambene amesema Ujenzi wa bwawa la Nyerere umefikia 77%
Source ITV Habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaimu mkurugenzi wa Huduma za Wateja mh Mwambene amesema Ujenzi wa bwawa la Nyerere umefikia 77%
Source ITV Habari
Shukrani.Huo ukame mpaka uje ulete shida ya maji huko kwenye Bwawa wewe utakuwa ushakufa kwa kiu ? Kwahio suala la Maji ni for survival of human species hayo ya umeme ni nyongeza tu...
Pili kumbuka Tanzania ina above average rainfall, tatu yale maji yanatumika baada ya kupita na kuzalisha umeme sio kwamba yanaliwa na mashine (ni ile potential energy) yanapoanguka kutoka juu mpaka chini ile nguvu ya uzito na kasi yake yanazungusha motor na kuendelea na safari yake..., pia kama Tanesco wangesikiliza wanaweza kutumia hii pia kama battery....
Jinsi ya kuifanya Kampuni ya Tanesco kuwa Kampuni Bora na ya Kujivunia Tanzania na Afrika kwa Ujumla
Tanzania tumebarikiwa vyanzo vingi vya nishati, Na Tanesco ni kati ya Makampuni mama ya Tanzania ambayo yanaweza yakaitangaza nchi yetu Africa na Pote Duniani (Yaani mfano wa kuigwa) Sio tu kutupatia nishati hapa bali tuweze kuwapa hata majirani zetu na kutuingizia fedha badala ya sasa kutumia...www.jamiiforums.com