Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
"This Idris Rashid person should go. How do they measure his perfomance, anyway? He is a total FAILURE."
*************************************
MiratKad:
1. Kabla hajaondoka Rashid arudishe zile dola 600,000 za mgao wa radar -- zilitoka kwa wananchi na hana haki nazo yeye.
2. Lakini hakuna jambo hapa? Kuharibika kwa mitambo ya Songas kumekuja masaa 24 baada ya kampuni hiyo kutangaza kwamba haina mpango kununua mitambo ya Dowans kwa maelezo kwamba haifai kuendeshwa kibiashara.
3 Mafisadi wako tayari kufanya chochote, hata kuingiza nchi kwenye machafuko ili watimize tamaa zao. Hii imeshatokea katika nchi kadha. Wanajua fika kuwa valangata likizuka wao haoooo.. nchi za nje kwenda kuponda mapesa waliyotuibia. nawasikitia wapambe wao -- Balile, Manyerere na wengine, maana wataachwa tu nyumbani tufe nao.
*************************************
MiratKad:
1. Kabla hajaondoka Rashid arudishe zile dola 600,000 za mgao wa radar -- zilitoka kwa wananchi na hana haki nazo yeye.
2. Lakini hakuna jambo hapa? Kuharibika kwa mitambo ya Songas kumekuja masaa 24 baada ya kampuni hiyo kutangaza kwamba haina mpango kununua mitambo ya Dowans kwa maelezo kwamba haifai kuendeshwa kibiashara.
3 Mafisadi wako tayari kufanya chochote, hata kuingiza nchi kwenye machafuko ili watimize tamaa zao. Hii imeshatokea katika nchi kadha. Wanajua fika kuwa valangata likizuka wao haoooo.. nchi za nje kwenda kuponda mapesa waliyotuibia. nawasikitia wapambe wao -- Balile, Manyerere na wengine, maana wataachwa tu nyumbani tufe nao.