NDIOLisu ndio ana izo megawati sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIOLisu ndio ana izo megawati sio
Unafangasi weweNDIO
Sasa kama mambo ya mgao yalikuwa vile kabla ya Tangazo sasa baada ya tangazo sijui hali itakua!?
Ukame umeanza lini na mabwawa mangapi yamejengwa tangu ukame uanzeYaani ukame wa Nini? Lile bwawa wangejazia mkojo?
NDIOUnafangasi wewe
Maji ya mvuaSasa Hilo bwawa la mwl nyerere wanalijenga la nini maji watatoa wapi?
Umejibu Vema sana, wengine ukiwaangalia unaona kabisa hawana akiliWe ni Mpumbavu usiyefaa msikitini, makanisani hata mitaani.
Huko Germany, USA, Egypt, Ethiopia wanatoaga wapi maji mpaka wawe na hayo mabwawa ya umeme?
Mara ngapi TZ hupatwa na adha za mafuriko sababu ya mvua za kutosha?
Kwanini wasiweke mikakati ya kuvuna maji ya mafuriko wakayapeleka huko bwawani kuliko kupoteaga bila sababu za misingi?
TZ ni bahati mbaya sana kuzaliwa kama hizi ndizo akili za miongoni mwa wazalendo wa Taifa hili.
Sasa Hilo bwawa la mwl nyerere wanalijenga la nini maji watatoa wapi?
Mlishafeli mnachoweza ni mipasho na shamrashamra tuLeo tarehe 22/11/2022 TANESCO wametoa taarifa kwa vyombo vya habari kuelezea sababu za mgao unaoendelea nchini.
Kwa habari zaidi soma Press release Hapa chiniView attachment 2424290
hata ikinyesha mvua ya Nuhu bado mgao utakuwepo.kabla ya ukame kulikua na mgao ,Makambare akasema huo mgao ni kwasababu wanafanya maintenensi kubwa mgao utakuwepo.Mbona mvua zinanyesha?
Sasa ndio mikanda na mikwiji yote ifungwe.Leo tarehe 22/11/2022 TANESCO wametoa taarifa kwa vyombo vya habari kuelezea sababu za mgao unaoendelea nchini.
Kwa habari zaidi soma Press release Hapa chini
====
Shirika la Umeme Tanzania limetangaza upungufu wa Megawati 155 za Umeme wa Maji uliosababishwa na Ukame kwenye Mabwawa ya Kihansi, Mtera, Nyumba ya Mungu, Hale na Pangani.
Pia, Mtambo mmoja wa Kidatu unaozalisha Megawati 50 umepata hitilafu na Mitambo miwili ya Ubungo III inayozalisha Megawati 40 ipo kwenye matengenezo kinga, hivyo kupunguza Takriban Megawati 300 za Umeme wa Maji na Gesi.
Hali hiyo itadumu hadi mwanzoni mwa mwezi Desemba 2022 baada ya kumalizika matengenezo na kuongezeka maji kwenye mabwawa pamoja kuingizwa Megawati 225 kwenye Gridi ya Taifa.
View attachment 2424362
NakaziaCCM ni adui wa vizazi na vizazi
Umesoma nilichoandika? Ukakielewa? Hebu soma TenaUkame umeanza lini na mabwawa mangapi yamejengwa tangu ukame uanze
Maadui watatu alioainisha nyerere alisahau kusema CCM
Kwa jinsi lilivyojengwa na mpaka kukamilika hakutarajiwi kupatikana uhaba wa maji wala umeme!!Sasa Hilo bwawa la mwl nyerere wanalijenga la nini maji watatoa wapi?