Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ni kitu cha kipuuzi sana kuwahi kugunduliwa na binaadamu katika uso wa dunia
Wacheni ushabiki wa kipuuzi hawa wawili lazima walikuwa na ugomvi wao mwingine ndiyo ulioleta matokeo hayo.Dini ya mwarabu inasababisha mtu mweusi anamuua mwenzake kisa kamuomba maji ya kunywa!
Hana msimamo wowote, Mtume anasema mtu anapofunga kisha akaudhiwa, jibu ni moja tu "Mimi nimefunga", hizo hasira hadi za kufata kisu kazitoa wapi?Baadhi ya waumini wa hizi dini hasa hii ya Kiislamu ni wajinga wenye misimamo iliyopitiliza ona sasa ujinga unavyokugharimu kisa kufunga Ramadan je ndivyo dini zinavyoelekeza?.
Naunga mkono hoja. Bila shaka kabla ya kuchomana visu, na kama ni kweli hoja ni maji, lazima kulitokea mabishano ya maneno kwanza na kabla ya mabishano hayo lazima maneno kama 'sitaki, usinifuatilie n.k' lazima yalitoka kwa muuaji.Wacheni ushabiki wa kipuuzi hawa wawili lazima walikuwa na ugomvi wao mwingine ndiyo ulioleta matokeo hayo...
Namaanisha Dini inawapumbaza wanadamu na inawawekea mipaka ya kutumia Common sense.kwa hiyo Watu wakiuawana kwa wivu wa Mapenzi lawama zinaenda kwa alieanzisha mapenzi ?
Wacheni ushabiki wa kipuuzi hawa wawili lazima walikuwa na ugomvi wao mwingine ndiyo ulioleta matokeo hayo.
Kwanza imekuaje huyo anayeomba maji ambaye ni muislamu (kwa jina) akaomba maji kwa mwenzake? Si angejinywea tu mwenyewe yakaisha?
Siyo kwamba nashabikia mauaji ya kijinga lakini hii sababu haina mashiko kabisa.
Labda ndivyo alivyofundishwa?Doh uislam wa wapi huo
Kweli kuna watu majnuni
Lakini pia upo umuhimu wa viongozi wa dini kutoa elimu kila siku za ibada kuhusu umuhimu wa kuvumiliana hasa waumini wanapokuwa kwenye amri muhimu kama hizi za kufunga.Naunga mkono hoja. Bila shaka kabla ya kuchomana visu, na kama ni kweli hoja ni maji, lazima kulitokea mabishano ya maneno kwanza na kabla ya mabishano hayo lazima maneno kama 'sitaki, usinifuatilie n.k' lazima yalitoka kwa muuaji.
Kulikuwa na lazima gani kwa marehemu kuendelea kung'ang'ania hapo tu na asitumie busara kuomba msamaha na kuondoka au kama hilo aliona ni gumu (udhaifu) kwake basi angeondoka tu kimya kimya na kumuomba mwingine. Kuna shida mahali na hii siyo sababu kabisaaa.
Kwakuwa umepatikana mwanya wa kushambulia hiyo dini ya muuaji basi watu wamefungia ndani akili na wamefungulia midomo.
Walikua kwenye mfungo mtukufuMwili usiojishughulisha ni hekalu la shetani, wangekuwa kwenye vibarua au shambani wanapalilia wangepata wapi muda wa kuchomana visu?
Wanakula wanashiba, energy haina matumizi matokeo yake wapata nguvu za kupigana.
kwani wakristo wanaoua kwa sababu mbalimbali huwa hawafundishwi kwamba mauaji ni haramu?Mwezi mtukufu halafu unauwa?
Hiyo dini kwani hakuna mtu mwenye akili timamu akawafundisha namna ya kutenda mambo kwa usahihi?
Dini ni kitu cha kipuuzi sana kuwahi kugunduliwa na binaadamu katika uso wa dunia