Tanga: Auawa kwa kuchomwa kisu, inadaiwa chanzo kumuomba maji ya kunywa aliyefunga

Tanga: Auawa kwa kuchomwa kisu, inadaiwa chanzo kumuomba maji ya kunywa aliyefunga

Ni wazi marehemu anaonekana alikua mbabe anapenda kumuamrisha na kumpelekesha mdogo. Dogo akaona isiwe tabu...
Huu ndio ukweli,kama anaishi nyumba hiyo hiyo,angekwenda kuchukuwa maji mwenyewe,akanywa bila kuomba kwa mtu mwingine.
Kwanza katika uislamu,mgonjwa hafungi.
 
Tuache kuwa biased, hiyo ishu ni wazi wana ugomvi wao muda mrefu.
Kuwatukana waislam/wakristo/wapagani kwa jumla kwa kosa la mtu ni upumbavu.
Wote mnaotukana ni wapumbavu.

Haihitaji kutumia akili nyingi kuona hawa walikua na ugomvi wao, na kuna uwezekano mkubwa marehemu alikua ni mbabe na mkorofi mwenye kupenda umwinyi na kuamrisha. Japo, hai-justify kuchomwa kwake kisu kulikofanywa na mtuhumiwa.
 
Mwezi mtukufu halafu unauwa?

Hiyo dini kwani hakuna mtu mwenye akili timamu akawafundisha namna ya kutenda mambo kwa usahihi?
Sikutegemea ID kama yako kukuta na mawazo ya kipuuzi na mgando namna hii, Katika ya Tz kwani haikemei rushwa je wangani wanaiba ? tena wengine Pamoja na dini zao ni wezi..

Unataka kusema makatazo yote yaliyomo katika ukiristo mnayatekeleza nyingi wasafi haukuna muovu ?

Kuna Waislamu wangapi wanombana maji je wangapi wameuwawa kwa kisa hiko na je ametumia sheria ipi ya dini ?

NB : Linapokuja swala la dini ni rahisi sana kugundua upeo wa mtu na ufinyu wa akili yake.
 
Narudia kusema hv, Waislamu wote duniani ni wapumbavu, magaidi, wabakaji.
Linapokuja masuala ya dini ni rahisi sana kugundua upeo wa mtu na ufinyu wa akili yake , ahsante kwa matusi yako wewe ni mtu mwema na nyie ni wasafi kabisa.

Mimi ninaposikia matusi kama haya hayanizidishii ila upendo na imani juu ya dini yangu .
 
Sasa huyo aliyeua c angesubiri kwanza ifike leo Ijumaa baada ya kutoka msikitini akapate kitimoto chake saaaaaaaaaaafi asuuze nafsi yake
 
Umeona Sasa hii Dini ilivyo
Linapokuja swala la dini ni rahisi sana kugundua upeo wa ufinyu wa akili ya mtu,hata shuleni watu wameuwawa kwa kipigo cha walimu.

Mitaani mara ngapi yanatokea matukio kama haya ya kuombana maji na mbona kuna amani tu hakuna hayo mambo ?
 
Linapokuja masuala ya dini ni rahisi sana kugundua upeo wa mtu na ufinyu wa akili yake , ahsante kwa matusi yako wewe ni mtu mwema na nyie ni wasafi kabisa.

Mimi ninaposikia matusi kama haya hayanizidishii ila upendo na imani juu ya dini yangu .
Ww ndo wale wale, kuitwa mpumbavu ni tusi.? Mbona ukiitwa genius hulalamiki.? Em nenda ukapate kitimoto uwe sawa
 
Umemuelewa kamanda lakini usilete mihemko yako,RPC amesema kuna taarifa mbili tofauti na wao wanazifanyia kazi kujua ukweli ni upi.
Mihemko gani.. acha mzaha.

Hizi dini huwaga zina upuuzi puuzi mwingi tu. Mpaka kufikia stage hiyo kuna more than 50% possibility kauliwa kwa sababu ya mpuuzi mmoja kukaririshwa dini za wakoloni
 
Ww ndo wale wale, kuitwa mpumbavu ni tusi.? Mbona ukiitwa genius hulalamiki.? Em nenda ukapate kitimoto uwe sawa
Wapi nimeitwa genius ? mimi kitimoto sili na nimefunga na huwa sina kawaida ya kujitesa na kitu ambacho sina uwezo nacho nimejufunza kupokea comments zozote mbaya kwa ustahimilivu iwe dhidi yangu au dini yangu.

Simu yako una uhuru wa kutype lolote unajiona sawa kwa kutoka akili kwako au katika dini yako ,binafsi sijalalamika nimeelekeza lile ninaloliona sawa.
 
Mwanaume unajichekesha hovyo! Si unaweza kushikwa makalio sasa.
Mwendawazimu lazima nikuchek ...Hauna hoja nenda kwa wanawake wenzio ukahongwe bia za bure.

Tafuta pesa uache kutafuta public sympathy kwa mitazamo yako....


Nakutreat politely nakuona kama kichaa bado mdogo sana kijana...
 
Back
Top Bottom