Tanga: Auawa kwa kuchomwa kisu, inadaiwa chanzo kumuomba maji ya kunywa aliyefunga

Tanga: Auawa kwa kuchomwa kisu, inadaiwa chanzo kumuomba maji ya kunywa aliyefunga

Jiulize huyu Aliemchoma kisu ni ndugu yake katika imaan
Je? angekuwa ni mgalatia ameomba maji si angemchinja kabisa.
 
The most peaceful religion as usual like all religions mweee....ndo yale yale to force people also to fast during Ramadan...Sasa Ivi tujiandae clubs kulipuliwa...tumeanza na Mashoga soon tutaboreka na kuanza uasma mwingine thx to religion
 
Mambo ya habari bhana baadae ukifatilia utakuta sababu tofauti kabisa na hivi vyanzo vyetu vya Redio mbao...maana hata hao Polisi waliotoa taarifa huko mahakamani watakwambia uchunguzi bado haujakamilika...
 
Umemuelewa kamanda lakini usilete mihemko yako,RPC amesema kuna taarifa mbili tofauti na wao wanazifanyia kazi kujua ukweli ni upi.
Bwan hassan alikuwa katika swaum , ugomvi wowote haukutakiwa kuwa kipaumbelle kwenye mwezi huu wa haki.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kuombwa maji akiwa kafunga ni dhambi, Ila kumchoma mwenzie kisu na kumuua sio dhambi. Hao ndio wavaa kobazi
Hujawa kusikia wameuana kisa Tshsb500? Hapo unaweza kuta wametoleana maneno machafu ndio wamefikishana huko
 
Don't take it personally,ni haramu lakini zisiwe sababu za kipumbavu zitokanazo na amri za imani.
I am not taking it personally lakini hiyo thinking yenu vijana kwa kweli inanikwaza sana. Siku hizi kila kitu kinatafsiriwa kidini wakati ukiangalia (mfano huyu muuaji) utakuwa aidha walikuwa na jambo lao au hasira za kibinadamu ambazo baadhi ya watu huwa nazo (awe muislamu au mkristo). Hajatumwa na dini yake lakini hapa italazimiishwa ionekane ni issue ya dini, hasa akiwa muislamu.

Siku nyingi tu tumewahi kusikia mtu amemchoma mwenzake kisu kwa kutolipa deni, pengine la shilingi mia tu lakini hatusemi kwa sababu ni dini fulani.
 
Labda lipo lingine tusilolijua, amemuombaje maji wakati wanaishi nyumba moja kwani hakuwa akijua maji yanapokaaga???au walikuwa wanakejeliana!!!
 
Don't take it personally,ni haramu lakini zisiwe sababu za kipumbavu zitokanazo na amri za imani.

Nisome kwa umakini sikutaka mabishano nimesisitiza viongozi wa dini husika kama wapo ambao ni makini wawafundishe waumini namna njema ya kutenda mambo yahusuyo dini na yasiyohusu dini,hata kama sababu zikawa siyo tajwa hapo juu kitendo cha yeye kufanya mauwaji kwenye mwezi huu unaosemwa ni mtakatifu huyo hajui au hawajui wanachokiabudu.
Viongozi wako wa dini hawakuwahi kukufunza kutokuzini lakini bado umekua mzinifu nguli na huna dalili za kuacha!?
 
Back
Top Bottom