Tanga: Auawa kwa kuchomwa kisu, inadaiwa chanzo kumuomba maji ya kunywa aliyefunga

Tanga: Auawa kwa kuchomwa kisu, inadaiwa chanzo kumuomba maji ya kunywa aliyefunga

Dini ni kitu cha kipuuzi sana kuwahi kugunduliwa na binaadamu katika uso wa dunia
Hakuna mtu aliyeigundua dini, wewe mpuuzi. Dini ni sehemu ya asili ya mwanadamu. Ni pande mbili shikamani, tangamani, kama zilivyo pande mbili za sarafu.

Nitajie mtu japo mmoja asiye na dini, nami ntakuwa wa kwanza kukubaliana na hoja yako mfu.

Dini haiwezi kulaumiwa; watumiaji ndio wanaopaswa kulaumiwa. Huwezi kukilaumu kisu kilichopelekea umauti wa Amiri. Ndiyo sababu jeshi la polisi linashughulika na mhusika.

Umeelewa?
 
Hakuna mtu aliyeigundua dini, wewe mpuuzi. Dini ni sehemu ya asili ya mwanadamu. Ni pande mbili shikamani, tangamani, kama zilivyo pande mbili za sarafu.

Nitajie mtu japo mmoja asiye na dini, nami ntakuwa wa kwanza kukubaliana na hoja yako mfu.

Dini haiwezi kulaumiwa; watumiaji ndio wanaopaswa kulaumiwa. Huwezi kukilaumu kisu kilichopelekea umauti wa Amiri. Ndiyo sababu jeshi la polisi linashughulika na mhusika.

Umeelewa?
Wewe mjanja ni wapi nimelaumu dini??Nimetoa sentensi iliyojitosheleza kabisa ya kuwa Dini ni kitu cha kipuuzi kuwahi kugunduliwa na binaadamu, nazidi kuamini katika sentinsi yangu kwa jinsi ulivyonijibu kwa kukurupuka, haya nieleze Kingunge ngombale - Mwiru alikua dini gani??
 
Naona watu humu wanakashifu na kuudhihaki UISLAMU pamoja na MTUME (Rehma na Amani ziwe juu yake), Kila mtu aheshimu dini na imani ya mwenzie hizi choko choko hazina mwisho mzuri! Hakuna aliyekuepo eneo la tukio kati yetu hata hicho chanzo cha taarifa hakijakashifu imani ya mtu. Mtu kabla ya kuchukia na ausome kwanza Uislamu au Ukristo kisha mwenyewe atachagua haki ilipo atabaki humo lakini sio kutoleana maneno ya karaha humu. Uislamu umekataza machafu yote yakiwemo kuua pasipo kwa haki kisha anakuja mtu humu anasema ndio dini yao inavyotaka! Majuha wachache hawawezi kuchafua imani za watu.. Kuna wanazuoni wengi sana tengeni muda mujifunze huko kuhusu Uislamu na Ukristo msiandike msiyoyafahamu kwa ujinga.
NYINYI MNA DINI YENU NA MIMI NINA DINI YANGU kila mmoja amuheshimu mwenzie.
 
Umemuelewa kamanda lakini usilete mihemko yako,RPC amesema kuna taarifa mbili tofauti na wao wanazifanyia kazi kujua ukweli ni upi.
Jamaa kalaumu dini bila baada ya kusoma kichwa cha habari hili nalo ni tatizo
 
Wewe mjanja ni wapi nimelaumu dini??Nimetoa sentensi iliyojitosheleza kabisa ya kuwa Dini ni kitu cha kipuuzi kuwahi kugunduliwa na binaadamu, nazidi kuamini katika sentinsi yangu kwa jinsi ulivyonijibu kwa kukurupuka, haya nieleze Kingunge ngombale - Mwiru alikua dini gani??
Ni wazi hujui maana ya dini, wewe MastaKiraka
 
Narudia kusema hv, Waislamu wote duniani ni wapumbavu, magaidi, wabakaji.
Kuna waislamu tunaishi nao vizuri mtaani na wametukubali namna tulivyo licha ya kuwa wanajua sisi wengine ni Atheists lakini bado wanatupa ushirikiano mzuri.

Hao kwangu wameendelea kuni treat kama family

Sijapenda namna ulivyowaita
 
Huyo ni mpumbavu sana ndio wale hawajawahi fika hata madina huko kutalii.

Kuna wajinga wengine nimepishana nao wameziba njia/barabara wamebebelea sijui nini huko wanaita njia ya msalaba

Ujinga ujinga ujinga
Unashutumu vipi aliyakuwa uchunguzi aujambaini?
 
Kuna mwingine akiwa kwenye mfungo sio kwamba anajiona yeye ni muislamu tu anajiona yeye ni mwarabu tena mwarabu toka Saudi Arabia. Unamuua mwafrika mwenzio kisa dini ya waarabu
Wewe akili ndogo polisi wanasema chanzo cha kifo hicho bado ni utata wewe tayali umaisha jua chanzo ujinga ni mzigo
 
Back
Top Bottom