25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Hicho kisu ulicho kionyesha hapo na kikuangamize mwenyeweDuh, hii dini hiiView attachment 2579868
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kisu ulicho kionyesha hapo na kikuangamize mwenyeweDuh, hii dini hiiView attachment 2579868
TakbiirHicho kisu ulicho kionyesha hapo na kikuangamize mwenyewe
HahahhahaUnaambiwa hao mabikra 72 hawana marinda.
Wewe unajua maana ya wanja hena ???Mtume mtume mtume agrrrrr yule alikuwa anapakaga wanja na hina?
Walipo ichapisha wakaandika kuwa chanzo cha kifo hicho nini?Hapo hamna uchochezi ni Taarifa Ambayo hata Jf wenyewe wamechapisha Twitter
Hapana sijasomaHapa dini inaangiaje?umesoma taarifa ya polisi mpaka mwisho au umesoma msitali 1 tu ukalipuka na kuanza kushutumu dini?
"inadaiwa"Walipo ichapisha wakaandika kuwa chanzo cha kifo hicho nini?
Wewe ufahamu wako mdogo kama sio mdogo basi unajidanganya,talifa ya kamanda imesema bado awajabaini sababu haswa ya kifo hicho wewe unajifanya kujua chanzo kama sio ujinga nini??Shutuma na tuhuma hutangulia kabla ya uchunguzzi. Umejifunzia wapi mambo ya uchunguzi yanayokataza kumtuhumu mtu kwa sababu uchunguzi haujakamilika?
Mpumbavu utamjua kwa kunenaKuna waislamu tunaishi nao vizuri mtaani na wametukubali namna tulivyo licha ya kuwa wanajua sisi wengine ni Atheists lakini bado wanatupa ushirikiano mzuri.
Hao kwangu wameendelea kuni treat kama family
Sijapenda namna ulivyowaita
Akili yako kubwa,waabu sanamu akili yao ndogo lakini sio ajabu wange kuwa na ufahamu wasinge shutumu bila ushahidi tangu lini muabudu sanamu akawa timamu!?Hu uzi umeanzishwa na kuchochea kwa lengo la kudhalilisha dini fulani hamna ukweli wowote, na mods wa humu, dini fulani ikidhalilishwa wanaka kimya ila ukigusa upande mgine uzi unafutwa haraka, hata kama lengo sio kudhihaki hiyo imani, tujitahidi kutokuwa na upande hi stori ya kuomba maji imetungwa, kwanza anamuomba maji kama nani wakati ni majirani hajui maji ya lipo mpaka amuombe mwanaume mwenzie?
Dar kuna mama alifika dukani kariakoo kununua vitu akiwa na chupa ya maji mkononi, hakuhudumiwa, alipigwa kibao!Upuuzi wa dini again...
Kuombwa maji akiwa kafunga ni dhambi, Ila kumchoma mwenzie kisu na kumuua sio dhambi. Hao ndio wavaa kobazi
Unaamini mtu akiwa kwenye saumu ndio anatakiwa awe kama zombi afanywe chochote na yeye anyamaze tu! Hata hivyo kamanda hajatoa conclusion kwamba ugomvi huo umetokana na hiyo dhana ya mfungaji kuombwa maji ya kunywa na ndio maana wanaendelea na upelelezi.Bwan hassan alikuwa katika swaum , ugomvi wowote haukutakiwa kuwa kipaumbelle kwenye mwezi huu wa haki.
Allah akebarruTakbiir
Sasa kamu ujazoma mpaka mwisho mapovu ya nn?Hapana sijasoma
Ulikuwepo?au umeamua kuandika hili wakujue kuwa nawe hupo jfDar kuna mama alifika dukani kariakoo kununua vitu akiwa na chupa ya maji mkononi, hakuhudumiwa, alipigwa kibao!
Huu ndio ukweli,kama anaishi nyumba hiyo hiyo,angekwenda kuchukuwa maji mwenyewe,akanywa bila kuomba kwa mtu mwingine.
Kwanza katika uislamu,mgonjwa hafung