25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Tabia zako ndio hizi ulizo ziolozesha hapaHii dini ya vibwengo! Ukiwaangalia utajua ni watu wa maana kumbe wapi! Unafiki,fitina,roho mbaya,uzinzi ndo wao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia zako ndio hizi ulizo ziolozesha hapaHii dini ya vibwengo! Ukiwaangalia utajua ni watu wa maana kumbe wapi! Unafiki,fitina,roho mbaya,uzinzi ndo wao!
Kwani imekuwaje?Hivi mtu akiwa katika funga/toba si ndivyo anatakiwa awe mkarimu,msikivu,mvumilivu na mwenye kutoa(sadaka)zaidi?Hapo imekuwaje tena?
Kajifunze kuandika kwanza ndio uje kujilinganisha na mimiWewe ufahamu wako mdogo kama sio mdogo basi unajidanganya, talifa ya kamanda imesema bado awajabaini sababu haswa ya kifo hicho wewe unajifanya kujua chanzo kama sio ujinga nini??
Dogo, nikuambie tuu usipende kukurupuka. Hakuna kitu kibaya nilichokisema hapo hvy kuwa mpole acha kujifanya mnokoha ha ha ha sawa mkuu
🤣🤣🤣Na hapo mtaanza kumlaumu Marekani
sawa mkuu nimeelewaDogo, nikuambie tuu usipende kukurupuka. Hakuna kitu kibaya nilichokisema hapo hvy kuwa mpole acha kujifanya mnoko
Sasa si ndio upuuzi mwenyewe huu. Yani kisa wewe unafunga basi unalazimisha na wengine wote wafunge . Ingekua mimi hapo ndio pangeanza vita ya tatu ya DuniaDar kuna mama alifika dukani kariakoo kununua vitu akiwa na chupa ya maji mkononi, hakuhudumiwa, alipigwa kibao!
HII HAPA HABARI YA GAZETI LA MWANANCHI INAELEZEA VINGINE KABISAHao walikua na yao nyuma ya pazia
Waislamu wenye siasa Kali, wanaweza kuua Kwa kutetea dini na kwenda.mbinguni. usikataeHao walikua na yao nyuma ya pazia
Ya sabuni, ama namna gani?Sasa kamu ujazoma mpaka mwisho mapovu ya nn?
Dini za kuletewa hizi....ni shidaKuombwa maji akiwa kafunga ni dhambi, Ila kumchoma mwenzie kisu na kumuua sio dhambi. Hao ndio wavaa kobazi
Hwijaliahi sababu,kuuana mwezi mtukufu sio poaUmemuelewa kamanda lakini usilete mihemko yako,RPC amesema kuna taarifa mbili tofauti na wao wanazifanyia kazi kujua ukweli ni upi.
Hawa jamaaa shida wanajifanya wema sana.Kuombwa maji akiwa kafunga ni dhambi, Ila kumchoma mwenzie kisu na kumuua sio dhambi. Hao ndio wavaa kobazi
Anza kuusoma uzi kuanzia mwanzo utaelewa.Kwani imekuwaje?