Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
anataka ukahaba ukimeshwe? sishabikii ukahaba na siungi mkono ukahaba lakini amesahau kuwa hao anaowaona mitaani ni mahakaba masikini na madhara yao ni madogo. kuna makahaba huku maofisini, hao wanawake wanaojifanya wasafi na wasomi, wanauza miili yao kuliko hata hao. ukiona mtu anajitembeza barabarani ni kahaba masikini hana namna.Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.
DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.
"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.
Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.
Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.
"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.
Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
Nadhani kuna changamoto nyingi zinazowakabili wakazi wa Tanga. Hii si priority. Na log offMkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.
DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.
"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.
Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.
Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.
"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.
Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
ukahaba ni kitu kibaya, lkn DC kama ni mwanaume awe wa kwanza kurusha jiwe kama hajawahi kuwanunua maishani mwake.Nadhani kuna changamoto nyingi zinazowakabili wakazi wa Tanga. Hii si priority. Na log off
Nani alikudanganya siku hizi unaweza kupata Mbususu kirahisi rahis kwa saundi?Akisha wahamisha hao Dada poa ,wale Domo zege wasiojua kutingoza atawapa Nini wakishikwa na hamu ya ku duu?
mh!!!! hao wanawake wa tanga ndo masupastaa wa dizaini zote za ngono. Hakuna ngono wasioiweza. Hawachagui aina ya ngono, kwao ngono ni kama msosi.Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.
DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.
"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.
Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.
Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.
"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.
Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
Duuuh..ila watu.Ndoa yangu imeimarika baada ya kuweka dozi kwa madada poa. Huwa naenda kuosha rungu kila wiki mara mbili. Hata bajeti nilishaweka kabisa sh 40 elf kwa mwezi kiroho safi. Ukimwi ukija ntameza dawa na kinga ikiporomoka zaid nakufa. No tatz
Mkuu kasahau kuwa ukahaba ni moja ya biashara za kale zaidi duniani, hata Yesu na Mwamedi walizikuta na kuziacha.Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.
DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.
"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.
Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.
Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.
"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.
Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
Akemee huo ubaguzi na kueneza upendo au sindioTunamsubiri katibu mwenezi aje awatetee wanyonge hao
😆 😆Hii biashara ina stabilize ndoa duniani kote
Soma uelewe acha mihemukoNani alikudanganya siku hizi unaweza kupata Mbususu kirahisi rahis kwa saundi?
Huwezi kuacha tuu hivi hivi,maana yake ni kwamba itageuka kuwa ni utaratibu.Hii inatakiwa iendelee kukemewa kwa nguvu zoteHii biashara ipo tangu enzi za Yesu, kuna mambo mengine huwa yanaachwa yalivyo maana ni part ya natural order.