Kwani asipoenda uwanjani mapigo ya moyo yatasimama! Wenye uwezo wataenda, tusioweza tutaangalia kupitia runingaHuwa nawashangaa sana mnaolinganishaga maisha ya Ulaya na Africa. Nawaona kama mapunguani sanaa. Nyie ni watu ambao hamkubali na wala hamuamini kuwa kuna ndugu zetu hata hapo ulipo wanakufa kwa kushindwa kununua panadol ya miambili
Na usishangae watu wengine tukakosa tiketiMtu analalamika kiingilio elfu 20 tena big match kama ya simba na yanga Tanzania.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kuna watu hawako serious.
Kwahiyo Tanga kuna vilaza, watu hawana elfu 20.
Acha dharau mwandishi wa thread
Acha kujidanganya eti watakosa watu ,hii ni derby na uwanja ni mdogo na kwakiingilio hiki ni sahihi ,pia watazamaji wanatoka maeneo mengi sio Tanga pekee uwanja lazima ujaeKuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito
Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?
Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?
Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo
Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20
Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke
Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi
Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.
Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.
Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
View attachment 2714648
Sijakuelewa mkuu kiingilio kina watarget vp watu wa darWalikuwa wanadai wanapeleka game kama hizo huko ili wenyeji wapate kuona live mechi kubwa ila cha ajabu kiingilio kinawatarget watu waliotoka Dar huku wenyeji wakibaki kuangalia mchezo kwenye TV.
Pia ukijumuisha gharama za timu zote kuanzia usafiri na malazi zinazidi mapato yote yaliyopatikana. Kama lengo ni mapato kuchangia jamii ni afadhali timu zingetuma cash money zipelekwe kwa wahitaji.
Wanachama wa hizi timu hawana msaada ukiondoa manenoWabongo mnapenda vitu vya gharama ila hampendi kuwa sehemu ya gharama. Utasikia timu za wanachama, changieni sasa.
Watanzania ni watu wa maneno sanaIna maana mechi mbili, tena za TIMU KUBWA NCHINI kuwa na kiingilio elfu 20 mnalalamika…?? Duuh…!!! Tena ilibidi iwe elfu 30…!!
Hakika..Wanachama wa hizi timu hawana msaada ukiondoa maneno
Siku ya wananchi ilikuwa 10,000 halafu Simba day 5,000. Unataka ipi: Simba, Wananchi au TFF?Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito
Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?
Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?
Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo
Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20
Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke
Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi
Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.
Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.
Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
View attachment 2714648
Wee kalisha tako huna uchumi imara kusafiri na kuifata timu popote na hat hvyo waweke elf 30 kbsaWalikuwa wanadai wanapeleka game kama hizo huko ili wenyeji wapate kuona live mechi kubwa ila cha ajabu kiingilio kinawatarget watu waliotoka Dar huku wenyeji wakibaki kuangalia mchezo kwenye TV.
Pia ukijumuisha gharama za timu zote kuanzia usafiri na malazi zinazidi mapato yote yaliyopatikana. Kama lengo ni mapato kuchangia jamii ni afadhali timu zingetuma cash money zipelekwe kwa wahitaji.
Unadhani Tanga kuna uchumi wa kutosha kuweza kupata watazamaji kwa mechi 3 mfululizo ndani ya wiki moja tena kwa viingilio hivi?Sijakuelewa mkuu kiingilio kina watarget vp watu wa dar
Toja lini TFF wakajaki mashabiki. Lengo la kufanya ngao ya jamii kuwa ligi ni kukusanya fedha nyingi iwezekanavyo ili wapige kirahisi. It has nothing to do with football.Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito
Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?
Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?
Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo
Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20
Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke
Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi
Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.
Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.
Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
View attachment 2714648