Tanga kiingilio elfu 20! Hawa TFF wako sawa sawa kweli?

Tanga kiingilio elfu 20! Hawa TFF wako sawa sawa kweli?

Huwa nawashangaa sana mnaolinganishaga maisha ya Ulaya na Africa. Nawaona kama mapunguani sanaa. Nyie ni watu ambao hamkubali na wala hamuamini kuwa kuna ndugu zetu hata hapo ulipo wanakufa kwa kushindwa kununua panadol ya miambili
Kwani asipoenda uwanjani mapigo ya moyo yatasimama! Wenye uwezo wataenda, tusioweza tutaangalia kupitia runinga
 
Mtu analalamika kiingilio elfu 20 tena big match kama ya simba na yanga Tanzania.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kuna watu hawako serious.
Kwahiyo Tanga kuna vilaza, watu hawana elfu 20.
Acha dharau mwandishi wa thread
Na usishangae watu wengine tukakosa tiketi
 
Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito

Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?

Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?

Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo

Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20

Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke

Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi

Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.

Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.

Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
View attachment 2714648
Acha kujidanganya eti watakosa watu ,hii ni derby na uwanja ni mdogo na kwakiingilio hiki ni sahihi ,pia watazamaji wanatoka maeneo mengi sio Tanga pekee uwanja lazima ujae
 
Walikuwa wanadai wanapeleka game kama hizo huko ili wenyeji wapate kuona live mechi kubwa ila cha ajabu kiingilio kinawatarget watu waliotoka Dar huku wenyeji wakibaki kuangalia mchezo kwenye TV.

Pia ukijumuisha gharama za timu zote kuanzia usafiri na malazi zinazidi mapato yote yaliyopatikana. Kama lengo ni mapato kuchangia jamii ni afadhali timu zingetuma cash money zipelekwe kwa wahitaji.
Sijakuelewa mkuu kiingilio kina watarget vp watu wa dar
 
Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito

Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?

Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?

Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo

Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20

Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke

Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi

Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.

Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.

Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
View attachment 2714648
Siku ya wananchi ilikuwa 10,000 halafu Simba day 5,000. Unataka ipi: Simba, Wananchi au TFF?
 
Walikuwa wanadai wanapeleka game kama hizo huko ili wenyeji wapate kuona live mechi kubwa ila cha ajabu kiingilio kinawatarget watu waliotoka Dar huku wenyeji wakibaki kuangalia mchezo kwenye TV.

Pia ukijumuisha gharama za timu zote kuanzia usafiri na malazi zinazidi mapato yote yaliyopatikana. Kama lengo ni mapato kuchangia jamii ni afadhali timu zingetuma cash money zipelekwe kwa wahitaji.
Wee kalisha tako huna uchumi imara kusafiri na kuifata timu popote na hat hvyo waweke elf 30 kbsa

Mtu unatoka mawnza unauza mtumba alfu. Unaifata yanga na Simba Kweli tff wekeni elf 30 shenzo wahed
 
Tuache unafki mechi zilizopita magap yameonekana na KIINGILIO kulikuwa elfu 10 ! Je hii ya 20k watu watajaaaa
 
TFF wanatafuta maokoto bila kwanza kuwekeza. Wachezaji wanakaa kwenye mahema pale Mkwakwani maana hakuna vyumba vya kubadilishia. Pua kabisa.
 
Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito

Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?

Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?

Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo

Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20

Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke

Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi

Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.

Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.

Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
View attachment 2714648
Toja lini TFF wakajaki mashabiki. Lengo la kufanya ngao ya jamii kuwa ligi ni kukusanya fedha nyingi iwezekanavyo ili wapige kirahisi. It has nothing to do with football.
 
Back
Top Bottom