Tetesi: Tanga: Kinachoendelea Tanga kinatishia usalama wa raia na mali zao.

Tetesi: Tanga: Kinachoendelea Tanga kinatishia usalama wa raia na mali zao.

jastertz

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
407
Reaction score
768
Habari,

Taarifa zisizo rasmi Tanga mjini imejikuta katika hali ya sintofahamu kutokana na uvamizi wa watu nyakati za usiku na kuporwa. Waandishi wa habari Tanga wamenyamaza hawaripoti taarifa kama hizo ili watu wawe makini katika shughuli zao,,, tukio kubwa limetokea barabara ya 3 kwa mfanyabiashara mmoja (mhindi) na kuporwa pesa.
Vyombo husika vifuatilie,
 
Nawapa pole wazigua wote hasa wadada kwa changamoto hiyo
Wasambaa,wadigo n.k mtajijua
 
Soma hapa
 

Attachments

  • IMG-20240825-WA0050.jpg
    IMG-20240825-WA0050.jpg
    87.3 KB · Views: 5
Back
Top Bottom