Tanga kuna usafiri wa moja kwa moja kwenda Kondoa kupitia Kiteto

Tanga kuna usafiri wa moja kwa moja kwenda Kondoa kupitia Kiteto

BARDIZBAH

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
5,259
Reaction score
10,078
Msaada tafadhali. Tanga kuna usafiri wa moja kwa moja kwenda Kondoa kupitia Kiteto?

Na nauli yake imekaaje?
 
Shukran sana mkuu. Inaonekana kipande kikubwa ni vumbi? Maaba nikiangalia kwenye map naona sio pakubwa sana.
Vumbi linaanzia Handeni-Kiteto (Kibaya)-Mrijo-Kondoa. Kipindi cha mvua jiandae kisaikolojia. MiTo mingi haina madaraja
 
Shukran sana mkuu. Inaonekana kipande kikubwa ni vumbi? Maaba nikiangalia kwenye map naona sio pakubwa sana.
Ndiyo sehumu kubwa ni vumbi ila inapitika pia inavituo vingi njiani
 
Back
Top Bottom