Tanga: Lorry laua watu 10 waliokwenda kushuhudia ajali Segera

Tanga: Lorry laua watu 10 waliokwenda kushuhudia ajali Segera

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Wanakijiji 10 wa kijiji cha Chang’ombe kilichopo kwenye kata ya Segera wilayani Handeni wamefariki dunia kwa kugongwa na lori lililopoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani kutoa msaada kufuatia ajali ya barabarani ya gari ndogo aina ya Tata.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Batilda Burian lori hilo liliwagonga watu hao usiku wa kuamkia leo Januari 14, 2025 na kusababisha vifo hivyo sambamba na maheruhi.

Miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospitali ya Magunga iliyopo wilayani Korogwe na majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali hiyo hiyo.

20250114_102551.jpg
 
Wanakijiji 10 wa kijiji cha Chang’ombe kilichopo kwenye kata ya Segera wilayani Handeni wamefariki dunia kwa kugongwa na lori lililopoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani kutoa msaada kufuatia ajali ya barabarani ya gari ndogo aina ya Tata.
Malori mengi yanakuja yamechoka mabovu, ukipita barabarani yanasababisha ajali na foleni, sijui nini kifanyike
 
Wanakijiji 10 wa kijiji cha Chang’ombe kilichopo kwenye kata ya Segera wilayani Handeni wamefariki dunia kwa kugongwa na lori lililopoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani kutoa msaada kufuatia ajali ya barabarani ya gari ndogo aina ya Tata.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Batilda Burian lori hilo liliwagonga watu hao usiku wa kuamkia leo Januari 14, 2025 na kusababisha vifo hivyo sambamba na maheruhi.

Miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospitali ya Magunga iliyopo wilayani Korogwe na majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali hiyo hiyo.

View attachment 3201486
Dah,wamekufa kifo cha maumivu makali sana, naogopa sana kifo cha ajali Mungu atuepushie kwakweli,roho inatoka kwa maumivu makali, wema wao wakutaka kutoa msaada umewaghalimu uhai. Walale pahala pema insh.
 
Back
Top Bottom