PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
-
- #21
Ukitaka kujua Hilo ingia barabarani muda wa asubuhi kuanzia SAA 2 Hadi SAA 6 hawa jamaa wanalala barabarani kama kitandaniPia usingizi,hao jamaa wanalala sana yaani dereva wa lorry kulala barabarani akiwa anaendesha ni pipa na mfuniko
Inamaana bila speed angeweza kuwaona watu hao akashika break hata akatembea kwa speed 30 mpaka 20 ili avuke eneo la tukioDoh, hii speed kwenye picha sijui umeionaje, au una macho ya Kiroho?
Hawapati muda wa kupumzika, fatigue inasababisha ajali nyingiPia usingizi,hao jamaa wanalala sana yaani dereva wa lorry kulala barabarani akiwa anaendesha ni pipa na mfuniko
Wengine hawana wema wanafika wanawavua hadi saa na mikanda waliyovaa majeruhi yaan watu wengine ni makatili zinapotokea ajali ni basi tuDah,wamekufa kifo cha maumivu makali sana, naogopa sana kifo cha ajali Mungu atuepushie kwakweli,roho inatoka kwa maumivu makali, wema wao wakutaka kutoa msaada umewaghalimu uhai. Walale pahala pema insh.
Mmmmh, umewaza mkuu !Au huyo mkuu wa mkoa jina lake linekaa vibaya!
Poleni Sanapole sana hapo mm ni nyumban kwetuu kabisa wamekufaaa 6
Na lazima alikuwa vyombodereve wa lori it seems alikuwa si kawaida/speed kubwa
Wanaendesha kwa mazoeaPia usingizi,hao jamaa wanalala sana yaani dereva wa lorry kulala barabarani akiwa anaendesha ni pipa na mfuniko
Ulozi tu.Hakuna lolote hapo.Kesho watu wanafuata magari mapya Daslam.dereve wa lori it seems alikuwa si kawaida/speed kubwa
Doh, hii speed kwenye picha sijui umeionaje, au una macho ya Kiroho?
Unajua kuendesha gari au kama naendesha basi rudi kujifunza.
Ajali zina hulka ya kualikanaWanakijiji 10 wa kijiji cha Chang’ombe kilichopo kwenye kata ya Segera wilayani Handeni wamefariki dunia kwa kugongwa na lori lililopoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani kutoa msaada kufuatia ajali ya barabarani ya gari ndogo aina ya Tata.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Batilda Burian lori hilo liliwagonga watu hao usiku wa kuamkia leo Januari 14, 2025 na kusababisha vifo hivyo sambamba na maheruhi.
Miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospitali ya Magunga iliyopo wilayani Korogwe na majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali hiyo hiyo.
View attachment 3201486
KIFO kina Tabia hiyo ya kualikanaAjali zina hulka ya kualikana