Nauri❌ nauli☑️Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi
NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Kwanini usifanye uchinga wa kutembelea mtaaniNipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi
NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Nenda dodoma boss kule chamwino, sema moja inaitwa uyumbi utapata connection za Kazi kuleNipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi
NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Hapo mnakula au mnalambalamba?Njoo mbeya mkuu....
Nyanya mbili 200
Bamia 300
Nyanya chungu 300
Limao 100
Kitunguu maji 100
Bado hujaishi?
Maana kinachosumbua mjini ni mboga.
Mtu mmoja au familia? Huyu kampigia bajeti ya mtu mmoja anaetaka kulaHapo mnakula au mnalambalamba?
White collar jobs sawa, ila kuna vitu vingi tu Tanga vinalipa Traditional, hasa Kilimo cha Nazi, popoo, Uvuvi, Matunda, Usafiri etc.Unazeeka kwenye umaskini. Huo mji wanaouenjoy ni wafanyakaz wa serikalin/makampuni, wahindi, waarabu(baadhi) na wachaga baadhi wenye maduka ya nguo.
Zanzibar hayo makazi hata leo yapo kibao tu ni yeye tuAu ajaribu Zanzibar kwa kazi ngumu kuli ndiyo penyewe Maana watu wa kule siyo watu wa kazi Ngumu na ujenzi mwingi ni wa hoteli kutoka kwa wawekezaji wa kigeni.
Shukrani mkuu kwa ushauri🙏🏾🙏🏾🙏🏾.Nenda mkoa wa Pwani, Kibaha sanasana ni mkoa unaokuwa kwa kasi na una viwanda vingi sana vikubwa na vidogo. Tanga unapoteza muda.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾Nenda dodoma boss kule chamwino, sema moja inaitwa uyumbi utapata connection za Kazi kule
Mtu mmoja mkuu,kwani kasema yupo na familia?Hapo mnakula au mnalambalamba?
Hapo anatoboa aisee...Mbagala bamia 200 na nyanya chungu za mia anapata. Kitunguu hapa kwetu hamsini, karoti 100 na dagaa wa kukaanga jero anapata. Chumba cha elf 20 chenye umeme kipo
Ni yey na kujishughulisha kwake. Hii mbagala yetu nzuri sana tu. Ingawa natamani jamaa tungesepa wote zanzibar wiki hii au mwanzoni mwa wiki ijayo. Kule kuna kazi za kuanzia ni ulinzi atapambana nazo miez kadhaa atafute kona nyingine mahotelinHapo anatoboa aisee...
Una chuki na waarabuUnazeeka kwenye umaskini. Huo mji wanaouenjoy ni wafanyakaz wa serikalin/makampuni, wahindi, waarabu(baadhi) na wachaga baadhi wenye maduka ya nguo.
Inasemekana ni kati ya mikoa ambayo utafiti ulibaini hawana case nyingi za ugonjwa wa presha. Hawataki kujisumbua na mambo magumu kama jiwe la kiama. Na wanaishi kweli.Watu ikifika saa 7 mchana wanafunga biashara wanaenda kulala kidogo unategemea nini hapo?
Tafta kamtaji uuze mabaibui utapiga pesa japo sio kirahisi ila ukikomaa uhakikaNipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi
NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Wewe ni mgosi hili neno kidau hili linatumika sana ukanda wa pwani hususani Tanga haya za hapo Mwahako😂wana Vidau tu na siku
Unataka aende kuweka rinda lake rehani.Mara 100 ungeenda unguja, hao wadigo na wasambaa wanakimbilia unguja na dar
Kwa hiyo Linda lake lina thamani sana kuliko hela atakayopata?Unataka aende kuweka rinda lake rehani.
Ndio mkuu. Bora kufa maskini kuliko kuvuliwa ubingwa. Siku hizi watu wakienda Zenji wanaenda kimyakimya nakurudi kimyakimya hawavai wanaogopa kuulizwa kama rinda liko salama.Kwa hiyo Linda lake lina thamani sana kuliko hela atakayopata?