Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,045
- 2,975
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitafurahi sana kama hao Moderator wakiacha kubadili chochote, ili hilo neno libakie hivyo hivyo kuwa Tanga!
Muda huu nimeshaanza kuwakusanya Wazee wenzangu wa Tanga ili tukawashtaki hao google! Moderator, tafadhali msibadili kichwa cha habari.
Huu uzi unatuhusu watu wa Tanga bila shaka.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app