Tanga: Mkuu wa wilaya Kilindi, Hashim Mgandilwa uwezo wake wa kuongoza unatia shaka

Tanga: Mkuu wa wilaya Kilindi, Hashim Mgandilwa uwezo wake wa kuongoza unatia shaka

jumaaarashidi

Member
Joined
Mar 29, 2024
Posts
15
Reaction score
10
Rais wangu nakusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mimi raia wako Rashidi Jumaa kutokea Tanga wilaya ya Kilindi ni mzawa wa huku

Sauti ya mnyonge huwa haisikiki kwa urahisi, nimeona nilitoe dukuduku langu humu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kero tuliyokuwa nayo na huyu mkuu wetu wa wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga, Hashim Mgandilwa Nina imani kubwa serikali yako ni sikivu itanipa sikio la kunisikiliza.


Mkuu wa wilaya ya Kilindi ni kichefuchefu

Amekuwa akiwakandamiza sana wakulima na kuonesha upendeleo wa wazi kwa wafugaji bila kusikiliza pande zote

Mfano katika kata ya Mafisa kuna kesi ya mkulima kupigwa risasi na mfugaji na kesi ilifika mezani kwake lakini hakuna maamuzi yeyote aliyoyatoa na kwa taarifa nilizokuwa nazo ana uswahiba na yule aliyefanya tukio hilo la kinyama wana mradi wao wa ufuagaji

Mashamba ya wakulima yanaharibiwa na wakulima wanatengenezewa makosa ya uongo wanawekwa ndani

Sio msikivu kabisa kwa raia wake ametawaliwa na ujeuri / kiburi cha madaraka anafanya ofisi kama ni mali yake hafwatishi kanuni na muongozo wa kazi ,

Ukimfuata ofisini huwa ana majibu ya ovyo sana ya kuonesha dharau kwa sisi wananchi wa hali ya chini

Huyu mkuu wa wilaya naona bado ni mwanafunzi hana uwezo wa kuongoza, hatufai wilaya ya Kilindi Tanga na wala hafai popote pale, maana hata akiamishwa ni sawa na kupeleka matatizo sehemu nyengine.

Ninayozungumza sio majungu ni hali halisi tunayokutana nayo huku. Nakuomba Rais tuma wapelelezi wako wafuatilie utendaji wake watayasikia mambo mengi sana juu yake.
 
Rais wangu nakusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mimi raia wako Rashidi Jumaa kutokea Tanga wilaya ya Kilindi ni mzawa wa huku

Sauti ya mnyonge huwa haisikiki kwa urahisi, nimeona nilitoe dukuduku langu humu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kero tuliyokuwa nayo na huyu mkuu wetu wa wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga, Hashim Mgandilwa Nina imani kubwa serikali yako ni sikivu itanipa sikio la kunisikiliza.


Mkuu wa wilaya ya Kilindi ni kichefuchefu

Amekuwa akiwakandamiza sana wakulima na kuonesha upendeleo wa wazi kwa wafugaji bila kusikiliza pande zote

Mfano katika kata ya Mafisa kuna kesi ya mkulima kupigwa risasi na mfugaji na kesi ilifika mezani kwake lakini hakuna maamuzi yeyote aliyoyatoa na kwa taarifa nilizokuwa nazo ana uswahiba na yule aliyefanya tukio hilo la kinyama wana mradi wao wa ufuagaji

Mashamba ya wakulima yanaharibiwa na wakulima wanatengenezewa makosa ya uongo wanawekwa ndani

Sio msikivu kabisa kwa raia wake ametawaliwa na ujeuri / kiburi cha madaraka anafanya ofisi kama ni mali yake hafwatishi kanuni na muongozo wa kazi ,

Ukimfuata ofisini huwa ana majibu ya ovyo sana ya kuonesha dharau kwa sisi wananchi wa hali ya chini

Huyu mkuu wa wilaya naona bado ni mwanafunzi hana uwezo wa kuongoza, hatufai wilaya ya Kilindi Tanga na wala hafai popote pale, maana hata akiamishwa ni sawa na kupeleka matatizo sehemu nyengine.

Ninayozungumza sio majungu ni hali halisi tunayokutana nayo huku. Nakuomba Rais tuma wapelelezi wako wafuatilie utendaji wake watayasikia mambo mengi sana juu yake.
Kama una ushahidi na hayo nakushauri uende nao kwenye ofisi iliyo juu yake yaani mkoani...bila kuacha kumpa taarifa OCD wa wilaya ya Kilindi.....ikishindikana huko ndio uje huku
 
Kama una ushahidi na hayo nakushauri uende nao kwenye ofisi iliyo juu yake yaani mkoani...bila kuacha kumpa taarifa OCD wa wilaya ya Kilindi.....ikishindikana huko ndio uje huku
Ninaoushaidi wa kutosha hata aje asimame ana kwa ana na Mimi ninampa makavu yake mubashara
 
NITAPAZA SAUTI YANGU MPAKA IMFIKIE MH RAIS AJUE MADUDU YANAYOFANYWA NA HUYU MKUU WA WILAYA, HILI NI JIPU LILILOIVA LINAPASWA KUTUMBULIWA.
 
Leteni hela faster na jogoo mkubwa mweupe ili niwatengenezee dawa ya kumuondoa huko Kilindi pasipo hata yeye mwenyewe kupenda. Nipo Kijiji cha Kwa Msisi huku.
 
Leteni hela faster na jogoo mkubwa mweupe ili niwatengenezee dawa ya kumuondoa huko Kilindi pasipo hata yeye mwenyewe kupenda. Nipo Kijiji cha Kwa Msisi huku.
Ukitutolea huyu limbukeni wa madaraka kilindi itapumua Sana maana amekuwa mwiba kwa wengi ni dua yetu kwa Allah usiku na mchana huyu kinyago ang'atuke
 
Leteni hela faster na jogoo mkubwa mweupe ili niwatengenezee dawa ya kumuondoa huko Kilindi pasipo hata yeye mwenyewe kupenda. Nipo Kijiji cha Kwa Msisi huku.
Mzee wa hizi kazi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Rais wangu nakusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mimi raia wako Rashidi Jumaa kutokea Tanga wilaya ya Kilindi ni mzawa wa huku

Sauti ya mnyonge huwa haisikiki kwa urahisi, nimeona nilitoe dukuduku langu humu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kero tuliyokuwa nayo na huyu mkuu wetu wa wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga, Hashim Mgandilwa Nina imani kubwa serikali yako ni sikivu itanipa sikio la kunisikiliza.


Mkuu wa wilaya ya Kilindi ni kichefuchefu

Amekuwa akiwakandamiza sana wakulima na kuonesha upendeleo wa wazi kwa wafugaji bila kusikiliza pande zote

Mfano katika kata ya Mafisa kuna kesi ya mkulima kupigwa risasi na mfugaji na kesi ilifika mezani kwake lakini hakuna maamuzi yeyote aliyoyatoa na kwa taarifa nilizokuwa nazo ana uswahiba na yule aliyefanya tukio hilo la kinyama wana mradi wao wa ufuagaji

Mashamba ya wakulima yanaharibiwa na wakulima wanatengenezewa makosa ya uongo wanawekwa ndani

Sio msikivu kabisa kwa raia wake ametawaliwa na ujeuri / kiburi cha madaraka anafanya ofisi kama ni mali yake hafwatishi kanuni na muongozo wa kazi ,

Ukimfuata ofisini huwa ana majibu ya ovyo sana ya kuonesha dharau kwa sisi wananchi wa hali ya chini

Huyu mkuu wa wilaya naona bado ni mwanafunzi hana uwezo wa kuongoza, hatufai wilaya ya Kilindi Tanga na wala hafai popote pale, maana hata akiamishwa ni sawa na kupeleka matatizo sehemu nyengine.

Ninayozungumza sio majungu ni hali halisi tunayokutana nayo huku. Nakuomba Rais tuma wapelelezi wako wafuatilie utendaji wake watayasikia mambo mengi sana juu yake.
Weka kazi za mkuu wa wilaya hapa ili tuzichambue... Usikute kazi za mhimili wa mahakama unamvisha mkuu wa wilaya
 
Weka kazi za mkuu wa wilaya hapa ili tuzichambue... Usikute kazi za mhimili wa mahakama unamvisha mkuu wa wilaya
Niliyoyasema hapo ni machache ana madudu mengi ameyafanya ila watu hawana pa kusemea ukizingatia na mazingira ya hii WILAYA yetu huku bado hakuna maendeleo na uhaba wa waandishi wa habari . Mimi ni mzawa wa huku nimezaliwa huku nimekulia huku mpaka utu uzima wangu, hakuna mkuu wa wilaya amewahi kulalamikiwa na wananchi kama huyu
 
Hashim mgandilwa ni mpigaji mkubwa wa miradi ya maendeleo hafai kabisa kuwepo ofisini ...
 
Kilacmtu akipata upenyo ni kutandika tu

Ova
 
Back
Top Bottom