jumaaarashidi
Member
- Mar 29, 2024
- 15
- 10
Rais wangu nakusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mimi raia wako Rashidi Jumaa kutokea Tanga wilaya ya Kilindi ni mzawa wa huku
Sauti ya mnyonge huwa haisikiki kwa urahisi, nimeona nilitoe dukuduku langu humu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kero tuliyokuwa nayo na huyu mkuu wetu wa wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga, Hashim Mgandilwa Nina imani kubwa serikali yako ni sikivu itanipa sikio la kunisikiliza.
Mkuu wa wilaya ya Kilindi ni kichefuchefu
Amekuwa akiwakandamiza sana wakulima na kuonesha upendeleo wa wazi kwa wafugaji bila kusikiliza pande zote
Mfano katika kata ya Mafisa kuna kesi ya mkulima kupigwa risasi na mfugaji na kesi ilifika mezani kwake lakini hakuna maamuzi yeyote aliyoyatoa na kwa taarifa nilizokuwa nazo ana uswahiba na yule aliyefanya tukio hilo la kinyama wana mradi wao wa ufuagaji
Mashamba ya wakulima yanaharibiwa na wakulima wanatengenezewa makosa ya uongo wanawekwa ndani
Sio msikivu kabisa kwa raia wake ametawaliwa na ujeuri / kiburi cha madaraka anafanya ofisi kama ni mali yake hafwatishi kanuni na muongozo wa kazi ,
Ukimfuata ofisini huwa ana majibu ya ovyo sana ya kuonesha dharau kwa sisi wananchi wa hali ya chini
Huyu mkuu wa wilaya naona bado ni mwanafunzi hana uwezo wa kuongoza, hatufai wilaya ya Kilindi Tanga na wala hafai popote pale, maana hata akiamishwa ni sawa na kupeleka matatizo sehemu nyengine.
Ninayozungumza sio majungu ni hali halisi tunayokutana nayo huku. Nakuomba Rais tuma wapelelezi wako wafuatilie utendaji wake watayasikia mambo mengi sana juu yake.
Sauti ya mnyonge huwa haisikiki kwa urahisi, nimeona nilitoe dukuduku langu humu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kero tuliyokuwa nayo na huyu mkuu wetu wa wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga, Hashim Mgandilwa Nina imani kubwa serikali yako ni sikivu itanipa sikio la kunisikiliza.
Mkuu wa wilaya ya Kilindi ni kichefuchefu
Amekuwa akiwakandamiza sana wakulima na kuonesha upendeleo wa wazi kwa wafugaji bila kusikiliza pande zote
Mfano katika kata ya Mafisa kuna kesi ya mkulima kupigwa risasi na mfugaji na kesi ilifika mezani kwake lakini hakuna maamuzi yeyote aliyoyatoa na kwa taarifa nilizokuwa nazo ana uswahiba na yule aliyefanya tukio hilo la kinyama wana mradi wao wa ufuagaji
Mashamba ya wakulima yanaharibiwa na wakulima wanatengenezewa makosa ya uongo wanawekwa ndani
Sio msikivu kabisa kwa raia wake ametawaliwa na ujeuri / kiburi cha madaraka anafanya ofisi kama ni mali yake hafwatishi kanuni na muongozo wa kazi ,
Ukimfuata ofisini huwa ana majibu ya ovyo sana ya kuonesha dharau kwa sisi wananchi wa hali ya chini
Huyu mkuu wa wilaya naona bado ni mwanafunzi hana uwezo wa kuongoza, hatufai wilaya ya Kilindi Tanga na wala hafai popote pale, maana hata akiamishwa ni sawa na kupeleka matatizo sehemu nyengine.
Ninayozungumza sio majungu ni hali halisi tunayokutana nayo huku. Nakuomba Rais tuma wapelelezi wako wafuatilie utendaji wake watayasikia mambo mengi sana juu yake.