Tanga: Mkuu wa wilaya Kilindi, Hashim Mgandilwa uwezo wake wa kuongoza unatia shaka

Kama una ushahidi na hayo nakushauri uende nao kwenye ofisi iliyo juu yake yaani mkoani...bila kuacha kumpa taarifa OCD wa wilaya ya Kilindi.....ikishindikana huko ndio uje huku
Aje huko wapi!?
 
Kilacmtu akipata upenyo ni kutandika tu

Ova
Ni nafuu angekuwa tu mpigaji lakini amevuka mipaka kwa kulewa madaraka amekuwa mnyanyasaji sana , vitendo anavyofanya kwa wakulima wa huku ni vya kiuonevu , huyu bwana tunajipanga kufanya maandamano kwenda ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga na mabango
 
Hii nchi laana tuliyopewa ni hio ya kuteua wakuu wa mikoa na wilaya wakati ilitakiwa waombe kazi kama taaluma nyengine wanavofanya/ wapigiwe kura,
Usingesikia huo upuuzi. Wanavimba.

Katiba mpya muhimu.
 
Hii nchi laana tuliyopewa ni hio ya kuteua wakuu wa mikoa na wilaya wakati ilitakiwa waombe kazi kama taaluma nyengine wanavofanya/ wapigiwe kura,
Usingesikia huo upuuzi. Wanavimba.

Katiba mpya muhimu.
Ni sahihi kabisa nakubaliana na unalolisema Sisi huku kilindi tunateseka Sana na huyu bwana ambaye kwa sifa zake hata ujumbe WA nyumba kumi hawezi kuongoza
 
WaTanganyika hakuna wanachopata ndani ya huu muungano.....na bahati mbaya.....(ngoja niweke akiba)
 
Mkuu niko nje ya mada kidogo naomba nisaidie maelekezo kuhusu io wilaya hivi maisha ya huko yakoje hasa hasa kwenye suala la upatikanaji wa maji majumbani pamoja na umeme na uwepo wa Hospitali karibu je.? ivyo ni vitu vya uhakika au ni changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…