Mkuu kiwahili ni nini?Niwie radhi..... Sikujua kama Akamuib, kumakamata, wamekimbai ni kiwahili fasaha!
Hata majizi ya ruzuku za vyama nayo wangeyauwa tuu.Chaaaa!!
Mngeuwaga hata wezi wa kura jamani.
wanaamini uchawi sana hawa wadigo rafiki zangu. Hakuna kinachokwenda bila kilinge!Naona uchawi wa kuloga wezi umewaishia sasa mmeamua kuua live.
nadhani atajua kuwa misspelling ni order of the dayMkuu kiwahili ni nini?
Context is home and dry! haya ya spellings achana nayo as long as context umeipata (kawaida yangu hapa JF huwa sihangaiki na typo errs!)! sifanyagi proofreading and if done is lightly done). Nimerekebisha asante! Enjoy your day anyway!
Mi nimeshtuka aliposema alimwiba akamuua na kumla!!!?Niwie radhi..... Sikujua kama Akamuib, kumakamata, wamekimbai ni kiwahili fasaha!