Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

... ni pazuri kwakuwa pako VILE!
 
Wanautetea uvivu wao sio? πŸ˜…
Hamna hizo kazi sasa wafanyeje?
Ikiwa ni kazi either auze sokoni mkwakwani au mganga wa kienyeji ,vinginevyo ni vijiwe vya kahawa tu jioni uji,vitumbua chai ya viungo inauzwa vibarazani
Yaani huko ukiwa mtu unakaa Bar kula,kunywa dah wanakuheshimu sana.
Na kweli utaitwa m bara
 
Mtoto flani wa kidigo yule na yule butterfly nyuma ya kiuno pale CRDB Madaraka..hakyanani Tanga Raha.
Tatizo shirki bwana.wanapuliza mno wale
 
Mkuu vipi mbususu za huko bei elekezi inaanzia kiasi gani?
Nataka kwenda huko mwezi ujao kisha ntaelekea Mombasa nikajifunze dhambi mpya
Mbwa dume achana na dhambi mpya", huogopi jehanam?.
 
Ni ngono tu ndiyo inayopewa kipaumbele kuliko maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…