Tanga: Rais Samia azindua Boti za Kisasa za Uvuvi na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Miradi mikubwa

Tanga: Rais Samia azindua Boti za Kisasa za Uvuvi na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Miradi mikubwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Boti za Kisasa za Uvuvi 35 na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Daraja la Mto Pangani na Barabara ya Bagamoyo, leo tarehe 25 Februari, 2025.


Rais Samia Suluhu Hassan azindua boti 29 za uvuvi na boti 50 za kilimo cha mwani wilayani Pangani Mkoa wa Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani humo.

Thamani ya boti hizo ni shilingi bilioni 14.4, ikiwa ni awamu ya pili ya mradi huo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika na kiukweli Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Anapendwa na watanzania haijapata kutokea,anakubalika na watu sijapata kuona. Watu wanampenda na kumkubali Rais Samia mpaka Wanashindwa kujizuia hisia zao za Upendo kwa Mama.

Mama anapendwa katika hii Nchi kuliko binadamu yeyote yule anayeishi na aliye hai katika ardhi hii ya Tanzania. Haijapata kutokea ,haijapata kuonekana,haijapata kushuhudiwa Rais akipendwa na watu kiasi hiki katika bara hili na pengine Duniani Kwote.

Siyo kwa sababu ni Mama bali ni kwa sababu ni Mama mwenye upendo,huruma, unyenyekevu,ukarimu na moyo wenye kujali na kuguswa na shida za watu. Amegusa maisha ya wengi na ndio maana unaona watu wakiguswa sana na Yeye. maisha yake ni kama yamekuwa faraja ,baraka na Neema kwa watu.

Ndio sababu ya kuona hata katika mikutano yake watu wakimiminika kwa wingi Utafikiri wanavutwa kwa Sumaku na wakati mwingine unaweza kufikiri pengine watu wameisha huko majumbani na wote wapo kumlaki na kumpokea Mama wa Afrika na jasiri muongoza njia.

Mama Samia ni Mpango wa Mungu.siyo mtu wa kawaida huyu Mama. Huu siyo Upendo bali ni mahaba ya watanzania kwa Rais wao.
Screenshot_20250226-131714_1.jpg
Screenshot_20250226-131656_1.jpg
Screenshot_20250226-131727_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Mh.aweso boss wangu hivyo siwezi kujaribu kum diss hata kdg..kila kitu afanyacho kama akiona ni sawa basi acha sawa tu hivohivo
 
Mh.aweso boss wangu hivyo siwezi kujaribu kum diss hata kdg..kila kitu afanyacho kama akiona ni sawa basi acha sawa tu hivohivo
Ni kiongozi mchapakazi sana aliyefanikiwa kutatua kero mbalimbali katika wizara ya Maji. Zilizokuwa zikipigiwa kelele na watanzania. Ameleta uwajibikaji mkubwa sana kwa watumishi wote chini ya wizara hii
 
Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Sifa zote halafu anapora kura 😆😆😆😁
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika na kiukweli Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Anapendwa na watanzania haijapata kutokea,anakubalika na watu sijapata kuona. Watu wanampenda na kumkubali Rais Samia mpaka Wanashindwa kujizuia hisia zao za Upendo kwa Mama.

Mama anapendwa katika hii Nchi kuliko binadamu yeyote yule anayeishi na aliye hai katika ardhi hii ya Tanzania. Haijapata kutokea ,haijapata kuonekana,haijapata kushuhudiwa Rais akipendwa na watu kiasi hiki katika bara hili na pengine Duniani Kwote.

Siyo kwa sababu ni Mama bali ni kwa sababu ni Mama mwenye upendo,huruma, unyenyekevu,ukarimu na moyo wenye kujali na kuguswa na shida za watu. Amegusa maisha ya wengi na ndio maana unaona watu wakiguswa sana na Yeye. maisha yake ni kama yamekuwa faraja ,baraka na Neema kwa watu.

Ndio sababu ya kuona hata katika mikutano yake watu wakimiminika kwa wingi Utafikiri wanavutwa kwa Sumaku na wakati mwingine unaweza kufikiri pengine watu wameisha huko majumbani na wote wapo kumlaki na kumpokea Mama wa Afrika na jasiri muongoza njia.

Mama Samia ni Mpango wa Mungu.siyo mtu wa kawaida huyu Mama. Huu siyo Upendo bali ni mahaba ya watanzania kwa Rais wao.View attachment 3250294View attachment 3250295View attachment 3250296

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chawa waandamizi
 
Tujiulize kwamba awamu ya kwanza ya manunuzi ya boti hizo yameleta matokeo gani chanya na ya faida?
nimesikitika kuona bilioni 14.4 zinaenda kuteketea pasipo mafanikio,
 
Tujiulize kwamba awamu ya kwanza ya manunuzi ya boti hizo yameleta matokeo gani chanya na ya faida?
nimesikitika kuona bilioni 14.4 zinaenda kuteketea pasipo mafanikio,
 
Tujiulize kwamba awamu ya kwanza ya manunuzi ya boti hizo yameleta matokeo gani chanya na ya faida?
nimesikitika kuona bilioni 14.4 zinaenda kuteketea pasipo mafanikio,
 
Back
Top Bottom