Tanga: Rais Samia azindua Boti za Kisasa za Uvuvi na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Miradi mikubwa

Tanga: Rais Samia azindua Boti za Kisasa za Uvuvi na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Miradi mikubwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Boti za Kisasa za Uvuvi 35 na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Daraja la Mto Pangani na Barabara ya Bagamoyo, leo tarehe 25 Februari, 2025.


Rais Samia Suluhu Hassan azindua boti 29 za uvuvi na boti 50 za kilimo cha mwani wilayani Pangani Mkoa wa Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani humo.

Thamani ya boti hizo ni shilingi bilioni 14.4, ikiwa ni awamu ya pili ya mradi huo.

Kazi nzuri ya Samia haihitaji tochi kuona.
 
Kwanini usivunjwe tuungane na Uganda au Kenya?
Kwani Nani ameunda huo so called muungano ambaye anashindwa kuuvunja? Halafu mwanamke wa Kiipare unagubu na nyege za kimalaya yaani shobo na wazenj welikutelekeza na limimba nini? Ukawa unaranda na mitaa Kama chizi .
 
Kwani Nani ameunda huo so called muungano ambaye anashindwa kuuvunja? Halafu mwanamke wa Kiipare unagubu na nyege za kimalaya yaani shobo na wazenj welikutelekeza na limimba nini? Ukawa unaranda na mitaa Kama chizi .
Nasubiri ujifungue dada angu ndiyo nikujibu vinginevyo nitasababisha ujauzito wako utoke
 
Back
Top Bottom