Tanga tumepata mvua. Huko kwingine vipi?

Tanga tumepata mvua. Huko kwingine vipi?

hatar tupu jmani! Maisha vipi hapo wamesalimika? Mali?
Sijajua maana picha imetumwa jion hii ila nahisi itapungua so mabus ya dar songea yalipita...ila lile daraja wachina walibugi au Kama walizingatia kweli data za ki hydrological bas itakuwa NI mvua TU kubwa maana ndo kipindi Cha high flow....na mito yote kuanzia masasi mpk mbinga inamwaga ruvuma river ila uzuri mafuriko sio rahisi kwenye downstream za huko chini kuelekea msumbiji...ishu kubwa ipo kilwa njinjo na hapa mafuriko karibu na mtua kiwalala pale pana kabonde flan Cha ajabu maji yakijaa mtoni yakafunika gauge namba nne au tano aloo lazima flood itokee
 
ipo kilwa njinjo
asante kwa ufafanuzi. Umenikumbusha Njinjo , nimekaa kule miaka ya 1971.. nikitokea Mitole Primary school! Mtu Marandu??? Mtandu likuwa unajaa mpaka tunashindwa kwensa Kipatimu, it was terrible!
 
Lugha za watu hizo siyo issue sana alimradi ameeleweka kwamba location aliyopo maji yameshuka leo.

Hakuna la ziada nyengine mbwembwe tu!
amenirekebisha anyway! But the context is home and dry as you have put it!
 
Nikiripoti kutoka Makao Makuu ya nchi huku maji yanamwagika kila siku hadi mida hii kuna kamvua flan kakupunguzia vumbi, mimi ni EINSTEIN112 wa JF
 
Tanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.

Huko kwenu vipi?
Tumeivisha maharage na mahindi
 
asante kwa ufafanuzi. Umenikumbusha Njinjo , nimekaa kule miaka ya 1971.. nikitokea Mitole Primary school! Mtu Marandu??? Mtandu likuwa unajaa mpaka tunashindwa kwensa Kipatimu, it was terrible!
Mavuji nayo Imejaa mpk inasoma gauge ya nne 4.10 m kituo kipo mchakaa



Ila advantage ya mmbwemkuru inawahi Sana kukauka
 
Tanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.

Huko kwenu vipi?
Mkuu upo TA Mkuu
 
Tanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.

Huko kwenu vipi?
Mbeya Muda huu imeanza kama kawaida yake usiku!
 
Kwa hiyo anadanganya. jana niliongea na kijana wangu Dar anasema kameparaza tu si mvua ya maana
Nimetoka Mbezi Mwisho kupitia Kimara-Mawasiliano-Mwenge kote kuna mvua kubwa ilikuwa inanyesha.

Ila Madale, Bunju, Tegeta, Wazo ni pakavu ila wingu limetanda na upepo hamna
 
Back
Top Bottom