Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pwani kuna mawaziri wangapi pia??Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
DodomaPwani kuna mawaziri wangapi pia??
1. Abdallah Ulega
2. Suleiman Jafo
3. Mohammed Mchengelwa
4. Ridhwan Kikwete
Dodoma ongeza na Deo NdejembiDodoma
Dr Kijaji
Simbachawene
Mavunde
Na yule rafiki ya Dugange
Wametisha sana!,[emoji23][emoji23]
Ndio Rafiki wa DugangeDodoma ongeza na Deo Ndejembi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Ndio Rafiki wa Dugange
Ongeza na wallace karia Tff ,mgunda simba haya mmevuna nini kimaendeleo?Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Prof. Mkendaivi Kilimanjaro inae hata mmoja?
Jesus is Christ
Simbachawene hapo yupo safi ila katiliDodoma
Dr Kijaji
Simbachawene
Mavunde
Na yule rafiki ya Dugange
Wametisha sana!,😂😂
Wewe Bado una kiwango kikubwa sana Cha ujinga.Ukitoa Kigoma sijawahi sikia Mikoa Mingime ni maskini, yaani Mikoa Maskini imebakia..Tatizo kuna mikoa hata watoe Raisi inakuwa nyuma tu kimaendeleo sababu ya aina ya watu wa hiyo mikoa kama ya Tanga ,Dodoma,Pwani,Mara,Pemba,Kigoma ,Ruvuma,Iringa na Mtwara hata wapewe baraza zima la mawaziri na Raisi kwa mpigo hamna kitu utaiona iko chini tu kimarndeleo
Tatizo kuna mikoa hata watoe Raisi inakuwa nyuma tu kimaendeleo sababu ya aina ya watu wa hiyo mikoa kama ya Tanga ,Dodoma,Pwani,Mara,Pemba,Kigoma ,Ruvuma,Iringa na Mtwara hata wapewe baraza zima la mawaziri na Raisi kwa mpigo hamna kitu utaiona iko chini tu kimarndeleo
Wewe Bado una kiwango kikubwa sana Cha ujinga.Ukitoa Kigoma sijawahi sikia Mikoa Mingime ni maskini, yaani Mikoa Maskini imebakia..
Hata Kigoma is no more kwenye umaskini Kwa Sasa