Tanga Twadeka - Mawaziri wanne! 2030 InshaAllah!

Tanga Twadeka - Mawaziri wanne! 2030 InshaAllah!

1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati
Kuwachinjia Ngamia na Kondoo siku za Iddi ni jambo jema, lakini haliishi!
Wawasaidie kwenye Elimu na Afya, Mkoa kama Kilimanjaro ulifanikiwa kwa sababu Viongozi wengi waliotokea huko hasa enzi za Nyerere, Mwinyi na Mkapa walijikita katika kutatua changamoto hasa za Elimu na ndio sababu mchaga katika kila sekta hapa nchini yupo, kwa sababu viongozi kutoka huko Elimu ilikuwa Kipaumbele.
 
Mkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.

Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.

Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.

Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri wengi kuliko mikoa 7 ya Kanda ya ziwa hapa nijumuisha na Tabora.
Mkoa wa Arusha hakuna Waziri, Kilimanjaro Waziri ni mmoja na Manyara kuna Naibu Waziri, maza ni mdini sn
 
Nchi hii awamu ya Sita mikoa yenye miradi ya maendeleo mikubwa kwa sasa Kigoma na Ruvuma wana miradi mingi hadi kero, kigoma miaka miwili ijayo itakua imefunguka yote na waha nawaamini wanapiga kazi kwelikweli miaka mitano mbele watatafutwa kwa tochi, Tanga wana kila sababu ya kuendelea zaidi kwani bandari, viwanda, ardhi yao ina rutba sana wanahitaji tu kuongeza uchapa kazi, Dodoma imebebwa na serikali hivo usikariri maana kwa sasa wanakimbia sio haba, Iringa naona haina shida maana inakimbia muda mrefu sana , Pwani kwa sasa ni habari nyingine hata kwenye uchangiaji wa pato la Taifa imeziacha mwanza na mbeya maana pwani wana 60% ya viwanda vyote Tanzania tena vikubwa, Mara na Mtwara huko ndio wamelala japo nafasi ya kusonga mbele wanayo, lakini ufisadi kwenye mikoa ya mara na mtwara imekua kansa ya kufifisha maendeleo kwenye hayo maeneo,
Pwani vs mwanza?🤔
 
Mkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.

Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.

Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.

Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri wengi kuliko mikoa 7 ya Kanda ya ziwa hapa nijumuisha na Tabora.
Shinyanga yupo naibu waziri
 
Mkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.

Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.

Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.

Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri wengi kuliko mikoa 7 ya Kanda ya ziwa hapa nijumuisha na Tabora.
Shinyanga kuna Katambi
Simiyi kuna Kundo! Yupo chini ya Nape
 
Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.

NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Kiukweli hao wote ni mizigo, hasa huyo namba 4, ni zigo la misumari
 
Back
Top Bottom