Kuwachinjia Ngamia na Kondoo siku za Iddi ni jambo jema, lakini haliishi!1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati
Tanga wapo 5 na Pwani 4 na wote ni Ijumaa tupuPwani kuna mawaziri wangapi pia??
1. Abdallah Ulega
2. Suleiman Jafo
3. Mohammed Mchengelwa
4. Ridhwan Kikwete
Mkoa wa Arusha hakuna Waziri, Kilimanjaro Waziri ni mmoja na Manyara kuna Naibu Waziri, maza ni mdini snMkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.
Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.
Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.
Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri wengi kuliko mikoa 7 ya Kanda ya ziwa hapa nijumuisha na Tabora.
Ingekua kinyume ungeona maandishi marefu hapa. Kina Mohamed Said na timu yakeMkoa wa Arusha hakuna Waziri, Kilimanjaro Waziri ni mmoja na Manyara kuna Naibu Waziri, maza ni mdini sn
Pwani vs mwanza?🤔Nchi hii awamu ya Sita mikoa yenye miradi ya maendeleo mikubwa kwa sasa Kigoma na Ruvuma wana miradi mingi hadi kero, kigoma miaka miwili ijayo itakua imefunguka yote na waha nawaamini wanapiga kazi kwelikweli miaka mitano mbele watatafutwa kwa tochi, Tanga wana kila sababu ya kuendelea zaidi kwani bandari, viwanda, ardhi yao ina rutba sana wanahitaji tu kuongeza uchapa kazi, Dodoma imebebwa na serikali hivo usikariri maana kwa sasa wanakimbia sio haba, Iringa naona haina shida maana inakimbia muda mrefu sana , Pwani kwa sasa ni habari nyingine hata kwenye uchangiaji wa pato la Taifa imeziacha mwanza na mbeya maana pwani wana 60% ya viwanda vyote Tanzania tena vikubwa, Mara na Mtwara huko ndio wamelala japo nafasi ya kusonga mbele wanayo, lakini ufisadi kwenye mikoa ya mara na mtwara imekua kansa ya kufifisha maendeleo kwenye hayo maeneo,
Shinyanga yupo naibu waziriMkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.
Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.
Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.
Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri wengi kuliko mikoa 7 ya Kanda ya ziwa hapa nijumuisha na Tabora.
Shinyanga kuna KatambiMkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.
Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.
Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.
Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri wengi kuliko mikoa 7 ya Kanda ya ziwa hapa nijumuisha na Tabora.
Unajua maana ya Waziri. Tofautisha Waziri na Naibu Waziri. Katambi kama naibu siyo mjumbe wa Baraza la mawaziriShinyanga kuna Katambi
Simiyi kuna Kundo! Yupo chini ya Nape
Singapore hakuna umasikini Kuna watoto wazuri tu Kule,Nenda sasa Singida kwenyewe ukajionee umasikini ulivyokolea
Rais siyo. Hizo ni ndoto za alinachaMkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Balaa na aibuIngekua kinyume ungeona maandishi marefu hapa. Kina Mohamed Said na timu yake
Kiukweli hao wote ni mizigo, hasa huyo namba 4, ni zigo la misumariMkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
makamu wa raisKigoma Kuna.....................nimesahau anaye kumbuka anikumbushe!