Tanga waikatae CCM?

Kwa Ninayojionea Tanga aisee huu mkoa Una watu wapumbavu na wajinga sijawahi kuona! Wapumbavu na wasiletewe tu kwa upumbavu wao wa kuikumbatia Ccm
 
Kwa
Ninayojionea Tanga aisee huu mkoa Una watu wapumbavu na wajinga sijawahi kuona! Wapumbavu na wasiletewe tu kwa upumbavu wao wa kuikumbatia Ccm
Umesema ukweli mkubwa sanaaa TANGA imejaa watu wapumbavu sanaaa na Tanga ukiwa huna hata ubongo unaweza kuwaongoza wakishashiba mihogo ni vibarazani kimnyaaa,

Mkoa badala ya kuendelea unazidi kuchakaa vibaya mnoo ,

Bara bara za mjini Tanga ni kinyaa hakuna Meya? Hakuna mbunge? Hakuna madiwani? Hiyo Pangani road aisee aisee kama mahandani ya m23 ,

Hakuna wa kuhoji mji umedumaa unanuka shida ,wenyewe wamelala tu hawajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…