Bora umemuumbua. Kazi kukalia majungu, umbea na Uongo tu kama mtaji wa kisiasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umemuumbua. Kazi kukalia majungu, umbea na Uongo tu kama mtaji wa kisiasa.
Ninayojionea Tanga aisee huu mkoa Una watu wapumbavu na wajinga sijawahi kuona! Wapumbavu na wasiletewe tu kwa upumbavu wao wa kuikumbatia CcmCCM ina tabia ya kupeleka miradi mikubwa pale ambako wanakataliwa au Kuna dalili ya kukataliwa. Tanga na wilaya zake ni chimbo la CCM kwa karne na karne, hawana hofu ya kukataliwa hivyo hawapeleki miradi ya maana Tanga.
Tanga hakuna mradi hata mmoja wa umwagiliaji ingawa Kuna wakulima wengi. Tangu hasa kule Handeni ndivyo wilaya ambayo hakuna maji hakuna mito Wala mabwawa lakini CCM haipeleki maji ya mabwawa, bomba Wala kuchimba visima. Kata hazina vituo vya afya kama sera yao inavyosema, kata hazina vituo vya polisi Wala mahakama, hakuna shule za wasichana za bweni kama mikoa na wilaya nyingine; hakuna mradi wa maana Tanga na wilaya zake zote.
Tanga Tanga Tanga kunani? Tanga Wana kasoro gani kwenye kufikiria? au ni kwasababu ya kula sana viporo vya ugali wa mahindi?
Umesema ukweli mkubwa sanaaa TANGA imejaa watu wapumbavu sanaaa na Tanga ukiwa huna hata ubongo unaweza kuwaongoza wakishashiba mihogo ni vibarazani kimnyaaa,Kwa
Ninayojionea Tanga aisee huu mkoa Una watu wapumbavu na wajinga sijawahi kuona! Wapumbavu na wasiletewe tu kwa upumbavu wao wa kuikumbatia Ccm