Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Nchi hii inanuka umaskini karibu kila kaya hasa Kwa vijini. Ukiondoa mikoa michache ya Kilimanjaro, Njombe na Dar es Salaam kwingine kite kulikobaki kunanuka umaskini wa kupindukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mpuuzi akishalewa pombe zake chafu anajiona star sana.....uko na "obsessions and compulsivitities " na imani yako ya kidini kwa dhihaka ambayo wengine tuko "partial" kisomi kwa kuheshimu wengine ila dhihaka tunaziweza sana tu ha ha ha ha
Hakukuwa na sababu ya kuingiza Udini katika mambo yetu mtambuka ya kijamii.....
Kada uwe na kiasi.....
Hivi kwanini CCM hamtaki kuweka international airport mwanza?Mwanza ipi?
Mwanza yenye Uwanja wa Ndege wa mchongo 😂
😀😀😀Huyu mpuuzi akishalewa pombe zake chafu anajiona star sana.
Kameze ARVs halafu uvae pampas nahisi harufu ya kinyesi mpaka huku🤣🤣
Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa Tanzania
View attachment 3248347
Kisha unjoo ulinganishe na kufa kwa ukimwi mayatima mlijazana kwa kuwa na umaskini wa akiliSikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Dar es Salaam nao ni mkoa wenye makazi bora? Are you serious? Dar ndo mkoa watu wanaishi maisha ya ajabu sana!Nchi hii inanuka umaskini karibu kila kaya hasa Kwa vijini. Ukiondoa mikoa michache ya Kilimanjaro, Njombe na Dar es Salaam kwingine kite kulikobaki kunanuka umaskini wa kupindukia.
Ha ha ha kwahiyo ni mwendo wa wajawazito tu 😅😅😅😅. Umetoa hoja kwa hasira sana, ila tanga ni jiji la hovyo sana..
. Jiji la tanga kwa Sasa limeshikiliwa na wabena.. Ila wazawa hamna kitu pale ni mwendo wa kulala vibarazani tu kama wajawazito.. 🙂 🙂
. Hata sa100 leo ameamua kutembelea chopa tu, maana barabara za tanga hazieleweki..
Ni navyoongea ndoa nyingine inaning'inia na kauzi kembamba, mwanamke zile safari hapana mpaka mwanaume kasema nimechoka kujihudumia acha nimpe nafasi ili awe anaenda kwao bila kuulizwaMmeamua kuwananga watani zangu ha ha ha
Na wakizaramo je ?!!
Ha ha ha ha anakwenda katika "mkoba" huyo....ngoma ni gia tu.....Ni navyoongea ndoa nyingine inaning'inia na kauzi kembamba, mwanamke zile safari hapana mpaka mwanaume kasema nimechoka kujihudumia acha nimpe nafasi ili awe anaenda kwao bila kuulizwa
We ndugu weee Iringa napajua Tanga napajua Iringa ni pazuri kuliko Tanga mji umejaa umwinyi vibaya mno, ni magofu kwa kwenda mbele ,mzunguko wa hela sufuri, ukiingia mjini kama umeingia msibani kuna nini pale ? Bara bara za Tanga mjini tu kuanzia bara bara ya nne njoo mpaka pangani road kuna nini pale?Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Daa sherehe zisizo isha birthday tu sherehe kubwa mme ajipikiage mwenyeweHa ha ha ha anakwenda katika "mkoba" huyo....ngoma ni gia tu.....
Tanga kuna wajinga wengi sn, Lushoto, Handeni na Korogwe kuna wachaga wa kutosha, wenyeji ni wajinga haswa hawana akili, ndiyo maana na CCM ina wapenda haswaSikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Utadhani katoa mfukoni wake na yalivyo majinga yanashangiliaChura kiziwi anasema amewapa Trillion 3.1 😂😂😂
Tanga kuna waswahili wengi sn tena wajinga haswaWe ndugu weee Iringa napajua Tanga napajua Iringa ni pazuri kuliko Tanga mji umejaa umwinyi vibaya mno, ni magofu kwa kwenda mbele ,mzunguko wa hela sufuri, ukiingia mjini kama umeingia msibani kuna nini pale ? Bara bara za Tanga mjini tu kuanzia bara bara ya nne njoo mpaka pangani road kuna nini pale?
Ukweli usemwe Tanga usiifananishe na Iringa
We ndiyo mgosi mwenye akili aseeKabla ya kumkatalia Fanya survey uone alichoandika ni ukweli kabisa.
Nenda Handeni wachaga wamewafukuza wahindi , wahindi wameshindwa kuhimili ushindani wa biashara.
Wachaga wanaanzia shambani alfajiri msimu wa kilimo na wafanyakazi wao mchana wanakuja kufungua maduka mhindi hakuweza hiyo.
Nenda Tanga mjini siku hizi wachaga wame-dominate kwa maduka.
Mimi ni Tangaline OG lakini nimejifunza kujadili mada kwa kusimamia ukweli hata kama haunifurahishi.
Wamekukosea nini? tuna kusaidia ficha aibu ya mji wenuKwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Nimefika Tanga, ukweli Tanga masikini huwezi kulinganisha na IringaKwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Ukiona mahali CCM imekita mizizi ujue kuna wajinga na masikini wengi, Tanga inatia aibu asee imejaa wajinga tupu ndiyo maana CCM ipo kwa snWasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga