Tanganyika hatuna chetu kwenye mapato na usimamizi wa utalii Zanzibar, hili swala la Mnaijeria linakuwaje la muungano?

Tanganyika hatuna chetu kwenye mapato na usimamizi wa utalii Zanzibar, hili swala la Mnaijeria linakuwaje la muungano?

Si ndiyo uchafu wenu machogo mnaofanya tangu mvamie Zanzibar mwaka 1964.
Mkuu yote tuweke pembeni, hivi unaona ni jambo la thamani sana kuwa na au kulazimisha kutengeneza Flat head kisogoni ?!
 
Sisi tunapenda vita tu.. hata kama haituhusu wazenji ni ndugu zetu.
 
Hili swala sio la Muungano, mimi nipo Twitter kazi yangu ni kukazia tu kua io ni Zanzibar na sio Tanganyika. Tanganyika mambo ni safii kabisa

Chuki haiwezi kukufikisha sehemu, Unachosahau ni kuwa 80% ya ajira Za utalii zanzibar zinafanywa na watanganyika. Kwa maana kama kuathirika ndugu zako nao yatawakuta.
 
Inakuwaje watu wa bara wanashadadia, kupambania na kuutetea ugali ambao hawana mgao wake.

Kuna binti mnaijeria alikuja Zanzibar mwaka jana kusherekea birthday yake, she claims that angebakwa isingekuwa kusingizia ana ukimwi ila hata hivyo bado aliibiwa takribani milioni 2.4, alipoenda polisi anadai hakupewa ushirikiano.

Ushahidi kauweka wa picha na video huko twitter kwenye post yake yenye nyuzi zaidi ya 40 juu ya mkasa mzima.

hili swala ni la serikali ya Zanzibar maana wao hunufaika na utalii wa vivutio vyao ambavyo vinasimamiwa na taasisi ya utalii ya serikali ya Zanzibar, kwa ufupi hapa upande wa bara hakuna chetu hapo.
Huoni uzinduzi wa Royal Tour unafanyika Dar es salaam na Zanzibar!
 
Back
Top Bottom