Tanganyika iko mnadani?

Tanganyika iko mnadani?

Gentleman,
huna haja kunisamehe ikiwa nastahili pongezi, adhabu, kukosolewa au kusahihishwa..

nadhani mimi pamoja na wadau na waTanzania kwa ujumla tusio na maslahi na hiyo sijui tanganyika yafaa kufahamu mnataka tuwahurumie nini hasa kwa tusichokijua na mlichokiharibu wenyewe 🐒
Basi sawa...maana

 
Tukiongea vijana tunaonekana wapumbavu, hatujui siasa acha tukae kimya
 
Basi sawa...maana

shukran sana kwa mifano ya kihistoria na endelea enjoy kua mTanzania na mema yake yote. Huna haja kubabaika na mengineyo 🐒
 
shukran sana kwa mifano ya kihistoria na endelea enjoy kua mTanzania na mema yake yote. Huna haja kubabaika na mengineyo 🐒
 
Mchakato wa jambo hili likitakiwa wananchi washirikishe miaka au miezi kibao nyuma kuwa kuna wazo la kufanya jambo litakalogusa umma mkubwa mpana.

Kutoshirikisha umma katika mipango yoyote inayoendelea katika kuchukua eneo, ardhi, shule n.k ni jambo lisilokubalika.
 
Mko penye kijito cha asali na maziwa... Hamuwezi kamwe kuyatambua maumivu yetu
kwenye majadliano muhimu, yamaana na ya kiungwana kama haya,

vijito vya asali, maziwa na maumivu vinatoka wapi tena wakati huu wa kulisha ubongo chakula chake gentleman?🐒
 
Shule ya Msingi UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA UBUNGO PLAZA IMEUZWA.

Wazazi wameambiwa Wakachukue watoto wao wakawatafutie Shule.

Shule ya SERIKALI inauzwa kama Peremende.

Shule iliyojengwa kwa KODI za wananchi kuna watu wachache wamekaa huko juu wameamua WAUZE.

Maelfu ya WATANZANIA yanaenda kuumia kwa kukosa huduma ya Elimu kwaajili ya Maamuzi ya VIGOGO wachache.

Hapa ndio tulipofikishwa TAIFA na CHUKUA CHAKO MAPEMA (CCM).
Kwa sasa huu uzi ni tangazo tuu la kuuza shule ya ubungo.
Maana siyo malalamiko wala makasiriko hakuna hatua zozote zinazotakiwa kuchukuliwa na wala hakuna wa kuchukuwa hatua. Ni CCM wenyewe kwa wenyewe mnàpeana taarifa ya mnachofanya.
Hàkuna Cha mpinzani wala chama tawala wote lào moja.
 
kwenye majadliano muhimu, yamaana na ya kiungwana kama haya,

vijito vya asali, maziwa na maumivu vinatoka wapi tena wakati huu wa kulisha ubongo chakula chake gentleman?🐒
Uko gizani niko upenuni penye mwanga.. Unaniona .. Sikuoni.. Unanisoma.. Sikusomi.. Ila kupitia maandishi tunaweza kuna kitu fulani ndani yake
 
Nilisema kitambo bado nyie kipigwa mnada
Hivi ikija meli mkaambiwa inaenda kwa Trump mtakataa?
 
Hivi na hapa viwanja vya Biafra Kinondoni panajengwa nini? Naona wameshazunguushia mabati. Mwenye taarifa atujuze
 
Uko gizani niko upenuni penye mwanga.. Unaniona .. Sikuoni.. Unanisoma.. Sikusomi.. Ila kupitia maandishi tunaweza kuna kitu fulani ndani yake
Bilashaka upenuni penye mwanga palipita giza totoro na usingizi wa fikra ukawajaa watanganyika wachache sana wakajikuta Tanzania, eti saivi ndio tena mwangaza hafifu mno umewaijia mkiwa wachovu sana dah, hurumae🐒
 
Bilashaka upenuni penye mwanga palipita giza totoro na usingizi wa fikra ukawajaa watanganyika wachache sana wakajikuta Tanzania, eti saivi ndio tena mwangaza hafifu mno umewaijia mkiwa wachovu sana dah, hurumae🐒
Mlijifunza mafumbo pamoja na February!?,😂🙌🏿🏃🏿
 
Shule ya Msingi UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA UBUNGO PLAZA IMEUZWA.

Wazazi wameambiwa Wakachukue watoto wao wakawatafutie Shule.

Shule ya SERIKALI inauzwa kama Peremende.

Shule iliyojengwa kwa KODI za wananchi kuna watu wachache wamekaa huko juu wameamua WAUZE.

Maelfu ya WATANZANIA yanaenda kuumia kwa kukosa huduma ya Elimu kwaajili ya Maamuzi ya VIGOGO wachache.

Hapa ndio tulipofikishwa TAIFA na CHUKUA CHAKO MAPEMA (CCM).
Mshana Jr mimi siku hizi habari kama hizi zinanifurahisha sana. Nchi inaliliwa lakini sisi mi-wananchi tumekaa kama tuko peponi. Ndiyo maana wanataka kuhakikisha kuwa uchaguzi ujao wanaweka watu ambao hawatapiga kelele.
 
Back
Top Bottom