Tanganyika iko mnadani?

Tanganyika iko mnadani?

Baada ya kuuza vikubwa vyote, sasa vya kati vimeanza kuchukuliwa.. Kama tusipogutuka kwenye hili pia tumekwisha. Sasa ni zamu ya shule ya Msingi Ubungo shule ya umma!

Miezi miwili iliyopita kiliuzwa kituo cha mabasi madogo ya abria maarufu kama simu 2000.. Tulipiga kelele za hapa na pale likapita hilo.

Asili ya haya manunuzi ni kuuzwa kwa iliyokuwa stand kuu ya mabasi Ubungo ambayo ilikuja kuhamishiwa Mbezi Luois. Stand hiyo ya zamani sasa panajengwa kituo/soko kubwa la bidhaa za kichina.

Stand ya simu 2000 wameuziwa watu wa DART. Shule haijajulikana vema kauziwa nani. Kuna kila dalili eneo lote la Ubungo lenye huduma za Jamii litamegwa vipande vipande mpaka watalimaliza. TBS ya zamani pengine iko mbioni. Soko la simu 2000 nalo sidhani kama litapona. Mahamaka ya mafisadi je.nknk

Huko tuendako hata wananchi watafurushwa ni swala la muda tu. Baada ya kumaliza Ubungo kituo kinachofuata most likely ni urafiki.. Muda utasema.

CHUKUWACHAKOMAPEMA ni hatari kwa afya yako MDANGANYIKA!
 
Baada ya kuuza vikubwa vyote, sasa vya kati vimeanza kuchukuliwa.. Kama tusipogutuka kwenye hili pia tumekwisha. Sasa ni zamu ya shule ya Msingi Ubungo shule ya umma!

Miezi miwili iliyopita kiliuzwa kituo cha mabasi madogo ya abria maarufu kama simu 2000.. Tulipiga kelele za hapa na pale likapita hilo.

Asili ya haya manunuzi ni kuuzwa kwa iliyokuwa stand kuu ya mabasi Ubungo ambayo ilikuja kuhamishiwa Mbezi Luois. Stand hiyo ya zamani sasa panajengwa kituo/soko kubwa la bidhaa za kichina.

Stand ya simu 2000 wameuziwa watu wa DART. Shule haijajulikana vema kauziwa nani. Kuna kila dalili eneo lote la Ubungo lenye huduma za Jamii litamegwa vipande vipande mpaka watalimaliza. TBS ya zamani pengine iko mbioni. Soko la simu 2000 nalo sidhani kama litapona. Mahamaka ya mafisadi je.nknk

Huko tuendako hata wananchi watafurushwa ni swala la muda tu. Baada ya kumaliza Ubungo kituo kinachofuata most likely ni urafiki.. Muda utasema.

Hawa jamaa acha wauze tu
 
Acha uzushi, upotoshaji na uwongo km mlivyozoea nyie nyumbu. Mmeshindwa siasa mmehamia kwenye uzushi na upotoshaji. Shame on you! Eti shule imeuzwa bila ht aibu? Km serikali imebadilisha matumizi ya ardhi yake nyie nyumbu mwawashwa na nini.
35a6d51b-3c37-48eb-9636-7b7b3fce0094.jpeg
 
DART ni kampuni ya nani. Acha ubwege serikali inaweza kubadili matumizi ya ardhi yake inavyoona inafaa. Kuna kipande cha babu yako kimachukuliwa? Acha kiherehere na upotoshaji wa kipuuzi.
i need brain cells.jpeg
 
Shule ya Msingi UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA UBUNGO PLAZA IMEUZWA.

Wazazi wameambiwa Wakachukue watoto wao wakawatafutie Shule.

Shule ya SERIKALI inauzwa kama Peremende.

Shule iliyojengwa kwa KODI za wananchi kuna watu wachache wamekaa huko juu wameamua WAUZE.

Maelfu ya WATANZANIA yanaenda kuumia kwa kukosa huduma ya Elimu kwaajili ya Maamuzi ya VIGOGO wachache.

Hapa ndio tulipofikishwa TAIFA na CHUKUA CHAKO MAPEMA (CCM).
Hii nchi hii,viongozi ni kama masela wa gheto
 
Acha uzushi, upotoshaji na uwongo km mlivyozoea nyie nyumbu. Mmeshindwa siasa mmehamia kwenye uzushi na upotoshaji. Shame on you! Eti shule imeuzwa bila ht aibu? Km serikali imebadilisha matumizi ya ardhi yake nyie nyumbu mwawashwa na nini.
Kwahiyo hiyo video imetengenezwa? Mwana tumia hata akili Za kudinyia zikusaidie kung’amua
 
Baada ya kuuza vikubwa vyote, sasa vya kati vimeanza kuchukuliwa.. Kama tusipogutuka kwenye hili pia tumekwisha. Sasa ni zamu ya shule ya Msingi Ubungo shule ya umma!
Halafu kwa pembeni kuna madarasa ya ghorofa kadhaa yalishaanza kujengwa
 
Back
Top Bottom